Magazeti karibu yote hata lile la chama uhuru, yamempa nafasi kubwa Mh. Nyarandu kuliko Rais wetu mpendwa na ziara yake ya mwanza.
Kwa mtazamo wangu Rais alipaswa kupewa nafasi kubwa kwa kuwa alikuwa anazungumzia maendeleo ya nchi, hivyo ilikuwa fulsa nzuri kwa magazeti kutushawishi sisi watanzania tusome nn Rais wetu mpendwa kasema badala yake wanatushawishi kusoma habari ya Nyarandu kung'oka CCM ilhali haitatusaidia kitu
Kama una mahaba naye hivyo nunua matangazo ili apate hiyo nafasi unayotaka apate au ungemfuata mwanza umsikilizeili apate nafasi ya kutosha masikioni mwako.Magazeti karibu yote hata lile la chama uhuru, yamempa nafasi kubwa Mh. Nyarandu kuliko Rais wetu mpendwa na ziara yake ya mwanza.
Kwa mtazamo wangu Rais alipaswa kupewa nafasi kubwa kwa kuwa alikuwa anazungumzia maendeleo ya nchi, hivyo ilikuwa fulsa nzuri kwa magazeti kutushawishi sisi watanzania tusome nn Rais wetu mpendwa kasema badala yake wanatushawishi kusoma habari ya Nyarandu kung'oka CCM ilhali haitatusaidia kitu
Wao wameona ndio habari ya maana usiwapangieMagazeti karibu yote hata lile la chama uhuru, yamempa nafasi kubwa Mh. Nyarandu kuliko Rais wetu mpendwa na ziara yake ya mwanza.
Kwa mtazamo wangu Rais alipaswa kupewa nafasi kubwa kwa kuwa alikuwa anazungumzia maendeleo ya nchi, hivyo ilikuwa fulsa nzuri kwa magazeti kutushawishi sisi watanzania tusome nn Rais wetu mpendwa kasema badala yake wanatushawishi kusoma habari ya Nyarandu kung'oka CCM ilhali haitatusaidia kitu
Anao watatu.Umesikia Rais anasaka mchumba?
Anapenda utani sana.Unajua, mi bado nawaza tu hivi nikutamkie kweli ndege ina uwezo wa kupeperusha nyumba kweli...?
Ni hatari sana.
Hata mimi sijafurahishwa na kitendo cha mkuu wetu kinyimwa haki yake ya msingi ya kutokea ukurasa wa mbele!Magazeti karibu yote hata lile la chama uhuru, yamempa nafasi kubwa Mh. Nyarandu kuliko Rais wetu mpendwa na ziara yake ya mwanza.
Kwa mtazamo wangu Rais alipaswa kupewa nafasi kubwa kwa kuwa alikuwa anazungumzia maendeleo ya nchi, hivyo ilikuwa fulsa nzuri kwa magazeti kutushawishi sisi watanzania tusome nn Rais wetu mpendwa kasema badala yake wanatushawishi kusoma habari ya Nyarandu kung'oka CCM ilhali haitatusaidia kitu
Mwingine karibu ajifungueAnao watatu.
We wasema ila yeye huwa analiliaUmesikia Rais anasaka mchumba?
Fursa, Nyalandu, akili zenu CCM mzijua wenyewe.Magazeti karibu yote hata lile la chama uhuru, yamempa nafasi kubwa Mh. Nyarandu kuliko Rais wetu mpendwa na ziara yake ya mwanza.
Kwa mtazamo wangu Rais alipaswa kupewa nafasi kubwa kwa kuwa alikuwa anazungumzia maendeleo ya nchi, hivyo ilikuwa fulsa nzuri kwa magazeti kutushawishi sisi watanzania tusome nn Rais wetu mpendwa kasema badala yake wanatushawishi kusoma habari ya Nyarandu kung'oka CCM ilhali haitatusaidia kitu