Wahandisi watusaidie: Kwanini Tanzania Matumizi ya Matofali yenye Uwazi Katikati ni Madogo sana?

Kwa uzoefu wangu mdogo, tofali zenye uwazi katikati (Hollow Cement Block) zinatumika kwa uchache sana. Pamoja na faida zake nyingi, najiuliza ni kwa nini?

Tofali zenye uwazi faida yake ni kubana matumizi ya cementi na mchanga pia mfano pale unapotoa matofali ya kawaida 35 kwa mfuko moja, kwa tofali zenye uwazi unaweza ukatoa tofali 70 tena kwa ubora uleule wa tofali ya kawaida.

Ila tofali zenye uwazi ni rahisi wezi kuzibomoa na hazistahamili uzito mkubwa, ujengeaji wake unahitaji foundation imara na kufuatiliwa na nguzo imara pembezoni na linta imara
 
Kwa uzoefu wangu mdogo, tofali zenye uwazi katikati (Hollow Cement Block) zinatumika kwa uchache sana. Pamoja na faida zake nyingi, najiuliza ni kwa nini?

Hollow blocks zinatumika zaidi katika miradi(majengo)mikubwa Mara nyingi.

Watz wengi wetu hatuzijui Hollow Blocks,hata mafundi maiko wetu hawajawahi kuzijengea na hawajui namna ya kuzijengea.

Hollow Blocks zinapunguza gharama za ujenzi; kwa %kubwa .
1: mifuko 1wa cement ukitoa tofali 35
Za kawaida,hollow unapata tofali60
2: Gharama za mortal (kaunganisha) zinapunguza kwa %50 kwa kila sqm.
3: Nyumba zetu nyingi Sana hazinaga mifumo ya isolation,so hollow blocks zinasaidia isolation system.
4: Hazina material maalum,(mchanga cement Chipping na dust ikiwa inapatikana.
5Jengo linakua jepesi hasa maghorofa uzito unapungua Sana.
6
7
8
9
10........
 
Back
Top Bottom