Wahandisi wa Tanzania baada ya miaka 50 ya uhuru

Embu sasa wahandisi wa ukweli tujadili changamoto zinazotukabili mfano jinsi ya kumotivate graduates wafanya interniship yao ya miaka 3 na umuhimu wa kuwa registered,
 
Tanzanian engineering...LMAO

Kidaraja cha Kigamboni wameshindwa kukijenga mpaka Wachina wamekuja kuokoa jahazi.....hamna lolote nyinyi.

Wachina ni macontractors lkn nikuakikishie wahandisi wa Tz wamehusika kwenye plan na kudesign kwa JV ya Egypt na watakuwepo kwenye supervision what else u what?
 
Kwa hiyo hapa tafsiri yake ni hakuna!

Kwa sababu kama yangekuwepo ungeyaorodhesha tena kwa fahari kabisa.

jamani hata uwepo wa jf si unahusiana na computer engineer,unavyoongea na simu c makampuni yameajiri telecom engrs,majumba hata humo ulipo sa hz si eng kama mmiliki alimuhusisha lakini,hv ni vya kuambiwa?
 
Kibarabara cha Bagamoyo sasa hivi kinajengwa na Wajapan....(Konoike).

Selander bridge ilijengwa na Kajima!

Where was Tanzanian engineering?

Resident Engineer ni MTZ, material Engineer ni Mtz na Site agent(Construction manager ni MTZ)

hapo wataka nini? Konoike ni wakandarasi kazi ambayo hata wewe na NN company ungefanya kama ungequalify kwa vifaa na wataalam wa KiTZ.
 
jamani hata uwepo wa jf si unahusiana na computer engineer,unavyoongea na simu c makampuni yameajiri telecom engrs,majumba hata humo ulipo sa hz si eng kama mmiliki alimuhusisha lakini,hv ni vya kuambiwa?

Hao ma telecom engineers wanatumia teknolojia iliyopo tayari tayari tena ambayo si creation yao! Hata hao ma computer engineer nao wanatumia ujuzi uliopo tayari.
 
NN,

Watu kama akina Mponzi wa iliyokuwa MECCO, ndiyo walichora na kusimamia ujenzi wa BoT zamani na Soko la Kariakoo.

Mecco hiyo hiyo ilipoingiliwa na Mafisadi, imebaki mifupa mitupu.

Kuna Ngosha mmoja kutoka Tabora, alidesign bwawa la maji USA na akashinda katika washindani. Leo hii yupo Tanzania anafundisha wanafunzi tuition tu.

Kuna mtu kama Dr. Bamwenda ambaye alijadiliwa sana hapa JF, amefanya kazi kibao kama Mkemia nchi za Japan na Canada. Kaja Tanzania akaonekana ni mchovu tu. Sina uhakika kwa sasa yupo wapi.

Kuna mshikaji mmoja yupo mikoani huko na jamaa ni Traffic Engineer mzuri tu. Foleni Dar kibao na yeye hana kazi maana watu kama Lowassa ndiyo wanaamua kuwa wapangaji wa magari barabarani.

Mnara wa kuongozea meli wa bandarini Dar, umefanywa/jengwa kwa asilimia 100 na Watanzania.

Mabank mengi kwa sasa yana wahandisi wa Kitanzania na IT wameshika vijana kadhaa ambao nawafahamu kama wahandisi na hata BoT nako wapo. Haya mabadiliko unayoyaona ni wao.

JAMIIFORUMS, kwa asilimia kubwa ni Wahandisi wa Tanzania.

Kuna machinjio kubwa inajengwa Ruvu, meneja wa mradi ni Mhandisi na ni Mtanzania ambaye pia alichora lecture room mpya ya UDSM ambayo hadi leo hii wanafunzi wanatumia, ingawa utaona ni kampuni iitwayo NOREMCO ambako yeye alikuwa akifanya kazi.
 
NN,
Mabank mengi kwa sasa yana wahandisi wa Kitanzania na IT wameshika vijana kadhaa ambao nawafahamu kama wahandisi na hata BoT nako wapo. Haya mabadiliko unayoyaona ni wao.

Kumbe ndo maana kila leo ma ATM yao hayafanyi kazi...mara unaambiwa net iko chini hivyo hata wire transfers huwezi fanya. Yaani kero tupu! Sasa nishajua ni kwa nini lol.

JAMIIFORUMS, kwa asilimia kubwa ni Wahandisi wa Tanzania.

Hahahahaaa JF nayo inahesabika? Wamevumbua nini hawa wahandisi wa JF akina Mubyazi na wenzake?
 
Ok,haya nn twende kampuni ya mosha aliyekufa mwaka jana ni ya mzungu?aggreneb ya mboma ni mzungu?ml engineer ni mzungu?unajua tofauti ya mkandarasi na mhandisi?
 
Wahandisi wa uhakika wa Tanzani wote wako nje ya Tanzania. Hapa kuna makanjanja tu, huoni ma boksi yaliyojaa Kariakoo?

Si waliopo Serikalini si waliopo mitaani. Yote mikanjanja, tena hao waliopo Serikalini ndio kabisa hawana ubunifu, hawana kuona hapa hili osa, wao michuzi tu, ikiwakatia wako tayari kufanya chochote hata kupinda sheria, ndio maana tumeon a mighrofa kadhaa ikiporomoka, tumeona watu wakijenga hovyo sehemu za wazi kama bonde la Jangwani, hawa wahandisi walikuwa wapi?

Yote hiyo ni mikanjanja tu.

Nakuunga mkono kwa hoja hii.
Kuna kipindi miaka ya 1998 dogo mmoja alifanya ubunifu wa kifaa cha kurahisisha kutoa umeme kwa kutumia malighafi zinazomzunguka.
Alipopelekwa kwenye vyombo vya habari kukutana na wahandisi , alikuja mama mmoja Eng. (PhD) ,badala wamchukue wakendeleze ule ubunifu kwenye maabara zao DIT anatoa ushauri dogo aende shule. Ndio nikapata akili kuwa shule /elimu ni kupata Master's, PhD,Professor ambayo huiwezi kuitumia kusaidi jamii.
 
Ok,haya nn twende kampuni ya mosha aliyekufa mwaka jana ni ya mzungu?aggreneb ya mboma ni mzungu?ml engineer ni mzungu?unajua tofauti ya mkandarasi na mhandisi?

Wamefanya nini wote hao? Wamevumbua nini cha maana ambacho kinatumika dunia nzima?
 
Nenda website ya erb angalia all local firms kisha zichunguze acha uvivu wa kutaka utajiwe,then utajua watanzania tunaweza,ok nani amekuambia eng kazi yake ni kuvumbua?
 
Nenda website ya erb angalia all local firms kisha zichunguze acha uvivu wa kutaka utajiwe,then utajua watanzania tunaweza,ok nani amekuambia eng kazi yake ni kuvumbua?

Kazi yake nini sasa? Kukaa ofisini na kuongea kwenye simu na kuchora chora kwenye makaratasi?
 
Ok,haya nn twende kampuni ya mosha aliyekufa mwaka jana ni ya mzungu?aggreneb ya mboma ni mzungu?ml engineer ni mzungu?unajua tofauti ya mkandarasi na mhandisi?

Hiyo ndio ajui kati ya Engineers and Contractors!

Engineering companies za Watz maengineers!

Interconsult,
Tanconsult
Electrical plans,
Crowntech
Undi

Sijui uyu msukuma anataka wawe macontractors ndio atona wanafanya kazi
 
Back
Top Bottom