Nzokanhyilu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2007
- 1,078
- 93
- Thread starter
- #21
Kwa mara ya mwisho nimetumia software kama AutoCard na Solidworks nikiwa COET kuchora design drawings kwa ajili kutengeneza machine kama final project. By the way i was studying Mech. Eng.
Tatizo la bongo ni upatikanaji wa kazi na aina za kazi wanazofanya hawa Engineers wetu. Nikijaribu kujiangalia mimi mwenyewe sasa hivi nafanya kazi kama airworthiness inspector na sio mech. eng. tena kwa hiyo siwezi kutumia tena hizo software. Nikiangalia jamaa tuliograduate pamoja wengi wao wanauza magari na vifaa mjini hapo yaani ni salesmen.
Thus why is too difficult to get vivid examples of the final products manufactured thru these nice helping software.
Be patient may be you shall get some crues later on.
Asante. What you are doing is confirming that we are BUYERS/USERS and not Manufacturers.......