hawasna ndiyo nini? andika vizuriHahahaa....... Waliobaki hawsna bei?!
hawasna ndiyo nini? andika vizuriHahahaa....... Waliobaki hawsna bei?!
basi wewe utakuwa na kutu kwenye 0718Mwenye ubongo wenye kutu yuko segerea mida hii!
Hahahaa ......mbona Mbowe alizungusha form lakini anawamiliki ninyi wote hapo Ufipa kuanzia Prof Safarini.....hadi yule kichwa maji Sugu.....achilia mbali wewe mtengeneza kisusio!Hivi uyu mleta mada ata darasa la saba alifika kweli?
Kama ulivyoiona kwenye huo mtandso wa wazazi wako wote wawili!basi wewe utakuwa na kutu kwenye 0718
Nikikwambia uwezo wako wa ubongo ni mdogo sana unabisha,sasa kuna uhusiano gani kati ya kuzungusha form 6 na kukomea darasa la3cHahahaa ......mbona Mbowe alizungusha form lakini anawamiliki ninyi wote hapo Ufipa kuanzia Prof Safarini.....hadi yule kichwa maji Sugu.....achilia mbali wewe mtengeneza kisusio!
Nikiangalia uwezo wa kujenga hoja kati ya viana wa CCM na wapinzani humu napata jibu ni kwanini Magu anawavutia wapinzani kwenda CCMKweli una akili kidogo sana dhana ya kununuliwa iko palepale hawakununuliwa ili wasinyanyaswe au wapige kazi Walinunuliwa ili WAUDHOHOFISHE UPINZANI
Kumbe hujui kitu, kumbe na wewe ndio hao hao wakina Kabudi, Kitila and Co. Ltd! Unalinganisha kutoka kwa masha na Waitara, they have got quite different backgrounds! Their scenarios are quite distinguishable !Masha na Mwita Waitara ni wanaccm waliohamia Chadema kwa mbwembwe na baafse kurejea CCM. Wapo waliodai kuwa wawili hawa pamoja na wale wengine wamenunuliwa na CCM na sisi wengine tukabisha.
Juzikati nilimsikia Masha akilalamika kupitia Clouds tv kuwa serikali inamnyanyasa kwa kuxifungia ndege zake za Fastjet na kwamba yeye ana!iliki 68& ya hisa za fastjet.
Kwa upande mwingine Mwita Waitara kahamia CCM na kupewa uwaziri moja kwa moja na sasa anapiga Hapa Kazi Tu.
Wale waliodai wawili hawa walinunuliwa njooni hapa mjitetee.
Nawatakia Christmas njema!
Kumbe alizungusha form 6.....hahahaa!!!.... Sikulijua hilo mimi nilizungumzia kuzungusha "form"Nikikwambia uwezo wako wa ubongo ni mdogo sana unabisha,sasa kuna uhusiano gani kati ya kuzungusha form 6 na kukomea darasa la3c
Swsla ni hawajanunuliwa......wamevutiwa na utendaji wa serikali ya CCM fullstop!Kumbe hujui kitu, kumbe na wewe ndio hao hao wakina Kabudi, Kitila and Co. Ltd! Unalinganisha kutoka kwa masha na Waitara, they have got quite different backgrounds! Their scenarios are quite distinguishable !
flight of ideaKumbe alizungusha form 6.....hahahaa!!!.... Sikulijua hilo mimi nilizungumzia kuzungusha "form"
So katika karne hii bungeni tuna kiongozi wa upinzani aliyefeli kwa kiwango cha sifuri kidato cha Sita hii kali nilikuwa siijui. Kumbe ndio maana aliruka dhamana mahakamani!
Umemjibu vizuri sanaKumbe hujui kitu, kumbe na wewe ndio hao hao wakina Kabudi, Kitila and Co. Ltd! Unalinganisha kutoka kwa masha na Waitara, they have got quite different backgrounds! Their scenarios are quite distinguishable !
Kwa kutumia pesa taslimu bila mkopo. Hivi hizo pesa za manunuzi ni za ccm au ni kodi za wanyonge?CCM ikitaka manunuzi inaweza ikakinunua chama chote cha Chadema yaani viongozi, wanachama na hilo banda hapo Ufipa!
1.John baptist
2.Jingalao
3.
4.
5
Wengine watamalizia.
Ndio haohaoMasha ni mzinza
Wale waliodai wawili hawa walinunuliwa njooni hapa mjitetee.
Wewe naye msukuma na mzinza hawaingiliani hata kidogo ungesema mzinza na mhaya na walongo wanaendana hata kusikilizanaNdio haohao