johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,543
- 141,353
Masha na Mwita Waitara ni wanaccm waliohamia Chadema kwa mbwembwe na baafse kurejea CCM. Wapo waliodai kuwa wawili hawa pamoja na wale wengine wamenunuliwa na CCM na sisi wengine tukabisha.
Juzikati nilimsikia Masha akilalamika kupitia Clouds tv kuwa serikali inamnyanyasa kwa kuxifungia ndege zake za Fastjet na kwamba yeye ana!iliki 68& ya hisa za fastjet.
Kwa upande mwingine Mwita Waitara kahamia CCM na kupewa uwaziri moja kwa moja na sasa anapiga Hapa Kazi Tu.
Wale waliodai wawili hawa walinunuliwa njooni hapa mjitetee.
Nawatakia Christmas njema!
Juzikati nilimsikia Masha akilalamika kupitia Clouds tv kuwa serikali inamnyanyasa kwa kuxifungia ndege zake za Fastjet na kwamba yeye ana!iliki 68& ya hisa za fastjet.
Kwa upande mwingine Mwita Waitara kahamia CCM na kupewa uwaziri moja kwa moja na sasa anapiga Hapa Kazi Tu.
Wale waliodai wawili hawa walinunuliwa njooni hapa mjitetee.
Nawatakia Christmas njema!