Wahamiaji 100 waokolewa jangwani Niger

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,495
9,275
Takriban wahamiaji 100 wameokolewa baada ya kutelekezwa wakati wakijaribu kuvuka jangwa kaskazini mwa Niger,Chombo cha habari cha Ufaransa, RFI kimeripoti.

Imeripotiwa kuwa watu 92 waliookolewa na wanajeshi, walikua na hali mbaya nusura kupoteza maisha.

Wahamamiaji hao sasa wako chini ya uangalizi wa Shirika linaloshughulikia wahamiaji, IOM mjini Dirkou kaskazini mwa Niger, RFI imeeleza.

Wiki mbili zilizopita, wahamiaji 44 waliokuwa wakijaribu kuvuka jangwa kuelekea Libya walipoteza maisha kutokana na kiu.



BBC Swahili
 
Aisee waisilam wanateseka sana jaman, hiyo yote sababu ya kitabu kisicho kuwa na shaka ndan yake
 
Aisee waisilam wanateseka sana jaman, hiyo yote sababu ya kitabu kisicho kuwa na shaka ndan yake
Hao ni waafrica wenzako kama wewe wameshindwa na maisha wanakimbilia libya lango la europe.
By the way, hao wahamiaji wanatoka nigeria, senegal, ghana..... soo usidangaje kwamba woote ni waislamu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom