Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,578
...wakuu hii tarifa ni ya kweli au tetesi naombwa nijuze wengine tunatumia free basic nimeshindwa kuupitia vizur Uzi wote ?
ni hayo tu ahsanteni
ni hayo tu ahsanteni
Duh! No commentYaaa ndivyo ripoti inavyosema sikumzika mpendwa wangu zaidi ya kukabidhiwa kaburi tu! Idadi ya waliozikwa usiku ule juzi ni 11 wengine wapendwa wetu walikufa kwa njaa kiu maana amana hawapewi huduma yeyote madaktari wamejawa hofu hawatoi huduma yeyote ni wamawafungia wanaenda kuokota tu maiti za ndugu zetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumechanganywa tushike lipi?
Dah!... Poleni SanaWangevunja watoroke mapema mdogo wangu asingefukiwa na serikali ya magufuli huko makaburi ya kondo beach bahari
Sent using Jamii Forums mobile app
yaani nimecheka tuHata askari lazima aogope kuwakimbiza maana tayari wana bomu
Labda wameona huduma haziwaridhishi na wakijitibia nyumbani wanaweza kupona....hata hivyo mgonjwa anawezaje kuvunja geti?hao sidhani kama ni wagonjwa...watakua wamepona lakini bado wanaendelea kushikiliwa na kuhesabiwa kama wagonjwa.
Wewe acha kukurupuka unataka uambiwe habari zipi, aliye kuambia tupo salama nani? Huoni corona inavyo sambaa hata kwa mfano wa nchi zingine?Hizi ni propaganda nyingine tu zisizo na tija kwa jamii, Haiingilii akilini habari kama hii ikose hata uthibitisho wa Picha ya geti lililovunjwa...
Habari kama hizi ni za kupuuza, maana zimejaa chuki na kutia hofu watanzania..
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiulize nenda kafanye research hupajui Amana hospital?Je, hizi taarifa zina ukweli wowote?
Sasa kama anaumwa tu mafua na hayupo icu kuna sababu gani ya kumshikiria?Mgonjwa wa mafua hawezi vunja geti? AU unafikiri wagonjwa wote ni serious wapo ICU?