Last Seen
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 223
- 549
Habari wana Jukwaa!
Katika kufuatilia mabango ya baadhi ya watia nia wa ubunge nimegundua wengi Wametutisha na Ma-Cv yao badala ya kutuhakikishia Mambo watakayotufanyia punde tukiwapa ridhaa ya kupeperusha bendera za vyama husika!
Ndugu wana jukwaa naombeni mnosaidie michango yenu na Mimi Labda Niko nawaza tofauti na wengine.
Katika kufuatilia mabango ya baadhi ya watia nia wa ubunge nimegundua wengi Wametutisha na Ma-Cv yao badala ya kutuhakikishia Mambo watakayotufanyia punde tukiwapa ridhaa ya kupeperusha bendera za vyama husika!
Ndugu wana jukwaa naombeni mnosaidie michango yenu na Mimi Labda Niko nawaza tofauti na wengine.