Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Mgombea Urais wa zanzibar H. Mwinyi siku alipopitishwa alipewa ulinzi mkali kabisa kama Rais.
Magifuli 2015 baada ya kupitishwa ailipewa ulinzi mkali mara tu baada ya kuteuliwa na chama chake.
Kwanini Wagombea wa Urais kupitia vyama vingine nje ya CCM hawapewi ulinzi toka vyombo husika.
Au vyombo vya ulinzi ni mali ya chama gani?
Kama vyama vya siasa haliruhusiwi kuwa na vikundi vya ulinzi.. nani anawalinda hawa wagombea.
Ipo siku watu waovu tuu wasio litakia taifa hili mema wakafanya tukio na kusingizia serikali ndio imefanya haya.
Magifuli 2015 baada ya kupitishwa ailipewa ulinzi mkali mara tu baada ya kuteuliwa na chama chake.
Kwanini Wagombea wa Urais kupitia vyama vingine nje ya CCM hawapewi ulinzi toka vyombo husika.
Au vyombo vya ulinzi ni mali ya chama gani?
Kama vyama vya siasa haliruhusiwi kuwa na vikundi vya ulinzi.. nani anawalinda hawa wagombea.
Ipo siku watu waovu tuu wasio litakia taifa hili mema wakafanya tukio na kusingizia serikali ndio imefanya haya.