Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
Naona MAPAMBAZUKO katika siasa za upinzani!.............wagombea wqengi wa URAISI kupitia vyama pinzani tanzania wameamua kugombea ubunge>
MREMA,ameelezea KUITIKA WITO uliomtaka agombee kwenye jimbo lake la zamani,vunjo kilimanjaro.
MBOWE,amekuwa akitajwa mara kadhaa kugombea ubunge jimbo la hai
MBATIA,anataka kwenda kugombea KAWE,
PROF LIPUMBA,anasema nafasi ipo wazi KWA YOYOTE MWENYE SIFA!
MTIZAMO WANGU!
naona kama wapinzani wanataka KUMSURPRISE J.K kwa kumpa LADHA TOFAUTI KATIKA UPINZANI!kwa sisi wana kandanda tunasema WANATAKA KUBADILISHA FORMATION!
Wanajamii naamini mnaona mbali sana!........naomba maoni yenu MNAONA PICHA GANI YA MWAKA 2010?
MREMA,ameelezea KUITIKA WITO uliomtaka agombee kwenye jimbo lake la zamani,vunjo kilimanjaro.
MBOWE,amekuwa akitajwa mara kadhaa kugombea ubunge jimbo la hai
MBATIA,anataka kwenda kugombea KAWE,
PROF LIPUMBA,anasema nafasi ipo wazi KWA YOYOTE MWENYE SIFA!
MTIZAMO WANGU!
naona kama wapinzani wanataka KUMSURPRISE J.K kwa kumpa LADHA TOFAUTI KATIKA UPINZANI!kwa sisi wana kandanda tunasema WANATAKA KUBADILISHA FORMATION!
Wanajamii naamini mnaona mbali sana!........naomba maoni yenu MNAONA PICHA GANI YA MWAKA 2010?