GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Wakuu napenda kufahamu katika hawa wagombea wa Urais wa TFF kuna
ambaye amewahi kucheza, kufundisha mpira au hata kuwa na utaalamu wa
Ualimu wa Mpira?
Mwenye kuwafahamu vizuri naomba anipe sifa ya mmoja mmoja ili niweze
kumfahamu vizuri kwenye Tasnia ya mpira yukoje kabla sijaamua nani wa
kumpigia kura.
ambaye amewahi kucheza, kufundisha mpira au hata kuwa na utaalamu wa
Ualimu wa Mpira?
Mwenye kuwafahamu vizuri naomba anipe sifa ya mmoja mmoja ili niweze
kumfahamu vizuri kwenye Tasnia ya mpira yukoje kabla sijaamua nani wa
kumpigia kura.