MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Kumbe. Now it makes sense. Unajua kabla ya kushangaa habari ni vizuri ukajua source. If this is the source then it's not surprising at all.
karibu mawaziri wakuu wote waliotangulia hawakuwayi kuwania urais!
Kama sikosei mkulu Joka Kuu alituonya kutohamishia nguvu zetu nyingi kwenye mambo ya udini udini ambayo hayana tija kwa taifa. Ya kaisari tunapaswa kumpa Kaisari na ya mungu tumpe mungu. Ya serikali si ndiyo hayo ya Kaisari jamani au nimekosea?
Ni vyema tuka-dwell kwenye mambo ya msingi yanayotuunganisha kama nchi na siyo mambo ya dini kila inapokuwa siku mpya.Jamani hebu tujaribu kuliangalia hili kwa makini.
sasa mkuu ndio unataka kutujulisha kwamba waraka wa kanisa hilo ndilo lilikua lengo lao?kweli mkuu ulivyotamka ya kaisari mwachie kaiseri na ya serikali tuyachie siri-kali
Ni vyema tuka-dwell kwenye mambo ya msingi yanayotuunganisha kama nchi na siyo mambo ya dini kila inapokuwa siku mpya.Jamani hebu tujaribu kuliangalia hili kwa makini.[/QUOTE said:Ni kweli. Lakini hata hivyo habari yenyewe ni ya kipuuzi. Kanisa moja haliwezi kuandaa watu wawili kuchukua Urais nafasi ambayo ni ya mtu mmoja. Magazeti kama Al-Huda yana tabia ya "ku-sensionalize" habari kwa ajili ya kuuza.
Wapo:
Nyerere?
Sumaye?
Msuya?
Malecela?
Dr Salim?
Hata hivyo nakubaliana na wewe habari hii ya Pinda na Membe kuandaliwa na kanisa haina ukweli.
Ni kweli. Lakini hata hivyo habari yenyewe ni ya kipuuzi. Kanisa moja haliwezi kuandaa watu wawili kuchukua Urais nafasi ambayo ni ya mtu mmoja. Magazeti kama Al-Huda yana tabia ya "ku-sensionalize" habari kwa ajili ya kuuza.
Jasusi,
Huyo Mjengwa ndo walewale!
Kazi yao ni kuhakikisha kwamba wanavuruga mahusiano ya Kidini kati ya raia!
Mshindiliwe na Mlegee!
Wanamuonea kijana wa watu Mjengwa,kisa kaweka habari mbaya kwao.hehehe.....kazi kweli kweli