Uchaguzi 2020 Wagombea Ubunge wa CHADEMA walioenguliwa wapo zaidi ya wiki moja Dodoma Ofisi za Tume ya Uchaguzi

10 September 2020
Dar es Salaam Tanzania

NEC YATOA UAMUZI wa RUFAA 67 za WAGOMBEA UBUNGE na UDIWANI, YAWAREJESHA 45 KUGOMBEA.



.. Tume ya Taifa ya Uchagzui katika kikao chake cha jana tarehe 9 Septemba, 2020 imezipitia, kuchambua na kuzifanyia uamuzi jumla ya rufaa 67.

Kati ya hizo, rufaa 22 ni za Wagombea Ubunge na 45 ni za Wagombea Udiwani.

Maamuzi ya rufaa za wagombea Ubunge ni kama ifuatavyo:-
i. Imekubali rufaa 19 na kuwarejesha wagombea husika katika orodha ya wagombea.
  1. Rufaa hizo ni kutoka kwenye Majimbo ya Tunduru Kaskazini,
  2. Mbeya Vijijini,
  3. Songea Mjini,
  4. Karagwe,
  5. Ulanga,
  6. Chemba,
  7. Tanga,
  8. Kibamba,
  9. Nyasa,
  10. Same Mashariki,
  11. Buhigwe,
  12. Mufindi Kusini,
  13. Muheza,
  14. Tabora Kaskazini,
  15. Ubungo (2)
  16. na Kigamboni (3).
 
14 September 2020

CHADEMA YAITAKA TUME KUACHA KUCHEZEA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI



Katibu Mkuu wa CHADEMA John John Mnyika ataka vikao vya Tume kufanyia kazi rufani maana zipo nyingi za wabunge na madiwani lakini utendaji kazi wa kusikiliza rufani upo polepole sana na haki ikichelewa ni sawa na kupunguza haki za wagombea ikiwa rufani zao zitapitishwa waendelee kugombea.

Mgombea Ubunge Jimbo la Mbeya Vijijini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Joseph Mwasote maarufu kwa jina la CHINA wa CHINA.
 
Huyu huyu Slowslow mzee kijana wa magazijuto
Pitia maelezo ya Polepole wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, CCM hairuhusu mgombea wake yoyote hata awe na Phd kurudisha fomu kabla haijapitiwa na wanasheria wa chama. Na hao wanasheria wako wengi sana, sasa niambie chama gani mbali na CCM kina utaratibu huo?

CCM ILIANDAA WANASHERIA ZAIDI YA 1200... - WEKA WAZI FIKRA ZAKO | Facebook
 
15 September 2020
Dar es Salaam, Tanzania

Tume ya Uchaguzi yazungumzia Mbinyo toka Vyama vya Siasa kuhusu kupitia Rufani

Mkurugenzi wa Tume Dr. Wilson Charles asema wanachapa kazi sana kupitia rufani za wagombea , hata sasa unaweza kuja hapa jengo la Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam, tuko kwenye kikao tunaendelea kupitia hizo rufaa•

"Waache kutusumbua, sasa wao wanapiga kelele tungetoa hizo rufaa haraka hata hao wabunge wao wasingerudi, waache uzandiki, upuuzi na uongo"


Mkurugenzi aliyasema hayo alipoongea na wenye vyombo vya habari mitandaoni.
 
15 September 2020
Mbalizi, Mbeya
Tanzania

"NILITEULIWA,NIKAENGULIWA,NIKAKAMATWA" MGOMBEA UDIWANI CHADEMA KATA YA NSALALA BAADA KURUDI ULINGONI

Wananchi wakesha na kushangilia kusikia diwani wao mtarajiwa kurejeshwa ulingoni katika kampeni za 2020.
 
15 September 2020
Dar es Salaam, Tanzania

Tume ya Uchaguzi yazungumzia Mbinyo toka Vyama vya Siasa kuhusu kupitia Rufani

Mkurugenzi wa Tume Dr. Wilson Charles asema wanachapa kazi sana kupitia rufani za wagombea , hata sasa unaweza kuja hapa jengo la Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam, tuko kwenye kikao tunaendelea kupitia hizo rufaa•

"Waache kutusumbua, sasa wao wanapiga kelele tungetoa hizo rufaa haraka hata hao wabunge wao wasingerudi, waache uzandiki, upuuzi na uongo"


Mkurugenzi aliyasema hayo alipoongea na wenye vyombo vya habari mitandaoni.
Kwa spidi yao matokeo ya UCHAGUZI yatatolewa January huyo mkurugenzi wa NEC HATOSHI BORA KIHAMIA ANGEACHWA AU KAILIMA
 
15 September 2020
Mbeya, Tanzania

CHADEMA MKOA WA MBEYA WAFUNGUKA BAADA YA MAJIBU YA RUFAA ZA WABUNGE WAKE.


Joseph Mwasote almaaruf CHINA wa CHINA ambaye ni mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya atangaza kuwa Wagombea wa ubunge wa CHADEMA majimbo ya Mbarali, Mbeya Vijijini na Chunya warudishwa na Tume ya Uchaguzi kushiriki katika uchaguzi mkuu wa 2020.

Joseph Mwasote asema wanasheria wa Tume ya Uchaguzi makao makuu kwa usiri wamelaani mambo yaliyofanyika na Wasimamizi wa Uchaguzi ktk majimbo.

Kuna mgongano mkubwa baina ya watendaji wa Tume ya Uchaguzi makao makuu na Wasimamizi Makada Wakurugenzi majimboni kwa watendaji majimbo kuendelea kuwazungusha madiwani kupata barua za ushindi wa rufaa zao.
 
13 September 2020
Vwawa, Mbeya
Tanzania

Mgombea ashinda rufaa Tume kushiriki uchaguzi 2020

Mgombea wa CHADEMA aliyeshinda rufani Fanuel Mkisi apokekewa kwa shangwe na wananchi watakaopiga kura 2020



Fanuel Elias MKISI. Chama: CHADEMA. Mgombea ubunge tiketi ya chama cha CHADEMA, jimbo la VWAWA , Mbeya kuelekea uchaguzi mkuu wa Tanzania 2020.
 
Pitia maelezo ya Polepole wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, CCM hairuhusu mgombea wake yoyote hata awe na Phd kurudisha fomu kabla haijapitiwa na wanasheria wa chama. Na hao wanasheria wako wengi sana, sasa niambie chama gani mbali na CCM kina utaratibu huo?

CCM ILIANDAA WANASHERIA ZAIDI YA 1200... - WEKA WAZI FIKRA ZAKO | Facebook

Sema walisahau kupitia form ya Baba, kuna picha isiyo rasimi iliambatanishwa!! Nafikiri ilikua tu bahati mbaya🤩
 
15 September 2020

Wagombea wa Upinzani hawapewi mrejesho wala ushirikiano na 'uwazi' toka TUME NEC

Lumola Steven Kahumbi, Mgombea wa Ubunge jimbo la Bukene , Tabora kwa tiketi ya chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)



amejitokleza hadharani baada ya kukosa majibu ya rufaa mara baada ya tume ya uchaguzi NEC kutangaza kuwa mgombea wa CCM amepita bila kupingwa. Ametoa ushauri kwa tume hiyo kuhusu mambo mbalimbali ya siasa yanayoendelea.
 
16 September 2020
Mbeya Vijijini
TUNDU LISSU ATOA WITO KWA TUME YA UCHAGUZI , AJIBU TISHIO LA TUME

Aikumbusha Tume ya Uchaguzi maadili yake
  • Tume NEC imekatazwa upendeleo
  • Mambo yasiyotakiwa kufanywa na watendaji wa serikali wakati wa kampeni mfano kutumia magari na posho za serikali kukibeba chama tawala
  • Kutoa ahadi za shughuli za maendeleo wakati wa kampeni mfano kuipigia simu live TANROADS kujenga barabara wakati wa kampeni
  • N.k
 
15 September 2020
Dar es Salaam, Tanzania

Tume ya Uchaguzi yazungumzia Mbinyo toka Vyama vya Siasa kuhusu kupitia Rufani

Mkurugenzi wa Tume Dr. Wilson Charles asema wanachapa kazi sana kupitia rufani za wagombea , hata sasa unaweza kuja hapa jengo la Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam, tuko kwenye kikao tunaendelea kupitia hizo rufaa•

"Waache kutusumbua, sasa wao wanapiga kelele tungetoa hizo rufaa haraka hata hao wabunge wao wasingerudi, waache uzandiki, upuuzi na uongo"


Mkurugenzi aliyasema hayo alipoongea na wenye vyombo vya habari mitandaoni.


..Tume iko too slow.

..Tume inatakiwa ifanye kazi kwa haraka na kwa usahihi.

..Kuna rufaa zimeishaamuliwa lakini wagombea hawajapewa barua za maamuzi.
 
16 September 2020
Tunduma, Songwe
Tanzania

CHADEMA yaitaka NEC kutenda haiki kwa vyama vyote

 
22 September 2020
Dar es Salaam, Tanzania

Suzana Kiwanga : Napambana na kipenzi cha John Magufuli

Suzan Kiwanga mgombea wa ubunge jimbo la Mlimba kupitia CHADEMA aliyeenguliwa na Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Mlimba Morogoro, afunguka sakata zima
  • Risiti ya Halmashauri yagushiwa
  • Kuenguliwa kuwa fomu namba 8 haina risiti
  • Uteuzi ulifanyika saa moja usiku
  • Fomu namba 12 ya rufani, mkurugenzi alikimbia na kufunga ofisi tarehe 25 agosti na 26 agosti
  • Wiki 3 nimepiga kambi ofisi ya Tume Dodoma
  • Mlimba hali tete na Polisi walimtonya kuwa kuna njama ya kumkamata kutoka na hali kwa kigezo Suzan Kiwanga anasababisha vurugu
  • Mpaka leo Tume ya Uchaguzi bado inaendelea na mchakato wa kupitia rufani yake
  • Mkurugenzi wa jiji la Dodoma Godwin E. Kunambi alishiriki ktk mchakato wa ubunge akiwa bado mtumishi ngazi ya Mkurugezi wa Mji kinyume na taratibu na maadili ya wagombea kama inavyosema sheria ya uchaguzi ya Taifa na maelekezo ya Tume ya Uchaguzi
 
22 Sep 2020

ACT yafafanuwa tume za uchaguzi kujipotosha



Watumishi wa umma waenguliwa kugombea uwakilishi na ubunge kupitia ACT-WAZALENDO n.k kwa pingamizi .

Mwanasheria Mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo, Omar Said Shaaban, ameanika hadharani jinsi Tume za Uchaguzi (ZEC na NEC) zilivyofikia maamuzi ya kuwaondowa wagombea wa chama chake kwenye nafasi za uwakilishi na ubunge bila kuzingatia kabisa hoja za kisheria wala kimantiki.
 
06 October 2020
Mufindi, Tanzania

Wagombea wa CHADEMA wafika ofisi ya Mkurugenzi
Wagombea waruhusiwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kufuatia rufaa zao lakini kuna urasimu kupewa barua waendelee na kampeni Mafinga Kaskazini na Mafinga Kusini. Tangazo la serikali la 3 Oktoba 2020 lilisema wagombea wa CHADEMA wameruhusiwa na Tume kuendelea na kampeni.
 
06 October 2020
Mafinga mjini,
Iringa
Tanzania

WAGOMBEA UDIWANI MAFINGA WAVUTANA NA MKURUGENZI WA UCHAGUZI/WAIBUA MAZITO

Mkurugenzi wa Usimamizi wa Uchaguzi jimbo la Mufindi akaidi hatua za TUME makao makuu Dodoma kurudisha majina ya wagombea wa CHADEMA kuruhusiwa kuendelea kugombea .
 
09 April 2024

Jacob Zuma ashida Rufaa yake Dhidi ya Tume Ya Uchaguzi IEC iliyoengua jina lake .


View: https://m.youtube.com/watch?v=esGw__mAKDw

Msemaji wa MK Party bwana Nhlamulo Ndhlela amesema ushindi huu siyo kwa Jacob Zuma tu bali pia kwa chama chake cha MJ Party pia raia wengine wa South Africa waliochoka utawala wa chama cha ANC.

Wanasheria wa Zuma wameweza kuishawishi mahakama kuwa jukumu la Tume ya Uchaguzi ni kusimamia mchakato wa uchaguzi na kupokea majina ya wagombea na wala siyo kukata majina au kusema huyu au yule hafai.

Jukumu la kumuengua mgombea huamuliwa na mahakama pekee huku mujibu wa Section 47 ya sheria ya ikiyounda Tume ya Uchaguzi imesema wazi ni kusimamia uchaguzi, mchakato wa uchaguzi na kupokea majina ya wagombea .

2024 Elections | Zuma wins appeal against IEC disqualification: MK party Spokesperson weighs in

We are joined here in studio by the MK Party Spokesperson Nhlamulo Ndhlela.
 
09 April 2024

TUME HURU YA UCHAGUZI YA TAIFA

Tanzania ina la kujifunza kupitia hukumu hii ya kihistoria ya mahakama ya Afrika ya Kusini juu ya Tume ilioojaribu kuengua jina la Jacob Zuma wa MK Party ya Afrika ya Kusini, kuwa Tume ya Uchaguzi isiwe kikwazo bali majukumu yake ni wezeshi kufanikisha mchakato mzima wa uchaguzi na kama kuna malalamiko juu ya majina ya wagombea basi Mahakama tu ndiyo inaweza kusema nani anafaa na nani ametimiza vigezo kukiwepo pingamizi

09 April 2024​

DEFEND TRUTH​

ROAD TO 2024 ELECTIONS​

MK party wins Electoral Court case to allow Jacob Zuma onto the ballot to contest elections​

MK party wins Electoral Court case to allow Jacob Zuma onto the ballot to contest elections

Illustrative image | Former South African president Jacob Zuma. (Photos: Ihsaan Haffejee / AFP | Gallo Images / Fani Mahuntsi)
By Queenin Masuabi

09 Apr 2024
Follow
3

The Electoral Court has upheld the appeal by the MK party in its bid to keep former president Jacob Zuma on its parliamentary candidate list.​


Listen to this article


0:00 / 5:59
1X
BeyondWords
The uMkhonto Wesizwe (MK) party has continued its winning streak in the courts and will ensure that the face of its campaign, former president Jacob Zuma, is not removed from its Parliamentary lists.

The Electoral Court ruled on Tuesday afternoon that it was granting the MK party leave to appeal and that the objection against Zuma’s candidacy to become a Member of Parliament had been set aside.

“The application for leave to appeal is granted. The appeal succeeds. The decision of the Electoral Commission of 28 March 2024 in terms of which the Electoral Commission upheld Dr [Maroba] Matsapola’s objection to the second applicant’s candidacy (Mr Zuma) is set aside and substituted with the following: ‘The objection is hereby dismissed’,” the order reads.

Zuma is an integral part of the MK party’s campaign as he has drawn large crowds and support for the party, which was officially registered in September 2023.
However, his appearance on the party’s candidate list came under scrutiny as Zuma appeared to violate the provision in the Constitution that bars candidates who have received a 12-month or more prison sentence, without the option of a fine, within the last five years. A member of the public objected to Zuma’s nomination and the IEC upheld the objection, leading to the MK party appealing in the matter.

Appeal ‘futile’

Election expert and former IEC commissioner Terry Tselane told Daily Maverick that the order handed down by the Electoral Court came as no surprise.
“For me, instead of actually dealing with the merits, just in terms of the procedure after saying that the IEC has the legal powers to administer section 47 of the Constitution that deals with the National Assembly, it has nothing to do with the IEC.
“This is not the first time that a case like this has gone to the Electoral Court. Remember there was an objection against the candidacy of Winnie Mandela in 2009 and the Electoral Court also dismissed the objection and allowed Mrs Mandela to become a candidate,” he said
 
Back
Top Bottom