Uchaguzi 2020 Wagombea Ubunge wa CHADEMA walioenguliwa wapo zaidi ya wiki moja Dodoma Ofisi za Tume ya Uchaguzi

2 September 2020

Mwanasheria wa ACT Wazalendo atowa kauli kuenguliwa wagombea



2 Sep 2020
Mwanasheria Mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo, Omar Said Shaaban, amefafanuwa mchakato wa rufaa za wagombea wa chama hicho walioenguliwa na wasimamizi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Msikilize hapa.
Source : Weyani TV
 
1 September 2020
Dodoma, Tanzania

Bila Uwoga SUGU ailipua TUME ya UCHAGUZI, Amtaja Katibu wa CCM, - "Amani ya nchi Ipo mikinoni Mwao"



Wabunge Wa CHADEMA Walioenguliwa Na Wasimamizi Wa Uchaguzi Katika Majimbo Mbalimbali Wamekutana Na Waandishi Wa habari jijini Dodoma Kuiomba Tume Ya Uchaguzi Kutoa Majibu Ya Rufaa Walizokata... kwa ujumla kuna wabunge na madiwani jumla yao zaidi ya 1, 000 wapo Dodoma wakifuatilia rufani walizokata Tume ya Uchaguzi.

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Joseph Mbilinyi abainisha Mbeya mjini madiwani 16 wameenguliwa, aiasa Tume ya Uchaguzi Taifa kuwa wana dhamana kubwa kuhakikisha rufani za wagombea ubunge walioenguliwa na Wasimamizi wa Uchaguzi katika majimbo mbalimbali zinatendewa haki kwa haraka ili wakaendelee na kampeni za kunadi sera na kuomba kuchaguliwa na wananchi.

Mjumbe huyo wa Kamati Kuu ya CHADEMA anasema Hali ya kisiasa ni mbaya sana inatishia amani kutokana na Ma-DC na DED kuvuruga mchakato wa uchaguzi na ndiyo maana wapo Dodoma kuipatia Tume ya Uchaguzi ukweli wa kilichofanyika ktk kuenguliwa kihuni na Wasimamizi wa Uchaguzi walioteuliwa na Tume ya Uchaguzi kusimamia zoezi hilo muhimu ktk majimbo mbalimbali nchini.


2 September 2020

Mwanasheria wa ACT Wazalendo atowa kauli kuenguliwa wagombea


Kiukweli hapendezi kupita bila kupingwa bora waweke hata kivuli watu wachague Kati ya mgombea na kivuli
 
02 September 2020
Dodoma, Tanzania

Mgombea Monica Nsaro wa CHADEMA aelezea rufani yake aliyowasilisha Dodoma ofisi za Tume ya Uchaguzi ya Taifa zilizopo Dodoma



Monica T. Nsaro mgombea wa jimbo la Nzega Vijijini kupitia CHADEMA
 
2 September 2020
Dodoma, Tanzania

Mgombea wa CHADEMA awasilisha rufani Dodoma



Mgawe Ernest Stanley mgombea wa ubunge jimbo la Kibamba Ubungo Dar es Salaam yupo Dodoma ofisi za Tume ya Uchaguzi ya Taifa Taifa kufuatilia rufani yake.
 
Pitia maelezo ya Polepole wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, CCM hairuhusu mgombea wake yoyote hata awe na Phd kurudisha fomu kabla haijapitiwa na wanasheria wa chama. Na hao wanasheria wako wengi sana, sasa niambie chama gani mbali na CCM kina utaratibu huo?

CCM ILIANDAA WANASHERIA ZAIDI YA 1200... - WEKA WAZI FIKRA ZAKO | Facebook

Hivi kwa nini mnapenda kurejesha nyuma hili taifa? Hamna haya nyie? kujaza fomu tu ni mpaka atafutwe mwana sheria? Hivi kwa nini mnapenda kuwafanya wenzenu wajinga?
 
Hivi kwa nini mnapenda kurejesha nyuma hili taifa? Hamna haya nyie? kujaza fomu tu ni mpaka atafutwe mwana sheria? Hivi kwa nini mnapenda kuwafanya wenzenu wajinga?
Huu ni utaratibu wa ndani ya CCM na sio vyama vingine, vyama vingine wao wanajiamini kama watu wateule wao wanauwezo wa kujaza fomu. Matokeo yake wale walipitisha fomu kwa mwanasheria, fomu zao hazina kosa hata moja, na wale ambao hawakupitisha kwa mwanasheria, wao wana 50% ya makosa. Je ukiwa mwenyekiti wa chama chako itatafuta mchawi wapi, tume au uliowateuwa wako?

Mtu anaambiwa bandika picha mbele kwenye fomu hii, haweki. Jaza tarehe ya kuzaliwa, anaweka tarehe ya kupeleka fomu. Unategemea nini kitatokea?
 
Pitia maelezo ya Polepole wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, CCM hairuhusu mgombea wake yoyote hata awe na Phd kurudisha fomu kabla haijapitiwa na wanasheria wa chama. Na hao wanasheria wako wengi sana, sasa niambie chama gani mbali na CCM kina utaratibu huo?

CCM ILIANDAA WANASHERIA ZAIDI YA 1200... - WEKA WAZI FIKRA ZAKO | Facebook
Kujaza fomu ya udiwani na ubunge mnaweka wanasheria 1200!!!!???
Hao wabunge wanaojaziwa fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge wataweza kuchangia miswada,kutunga sheria na kuisimamia serikali kweli!!???
 
Tena umesema jambo la maana sana, miaka hiyo ya nyuma kulikuwa na viongozi makini wa upinzani, sio wa sasa wanaopenda kutengeneza figisu zisizo na tija kwa mwananchi. Kiongozi unasema nitaruhusu wananchi wamwage damu kama sitashinda uchaguzi. Au unaenda kupigana na askari magereza eti tu uonekane unaonewa. Sidhani kama Marehemu Mzee Bob Makani angeweza kufanya uchafu kama huo.
Wewe ni kilaza,muongo na mbumbumbu. Weka ushahidi wa kiongozi wa upinzani aliyesema atamwaga damu.
Uongo ni ushetani na baba wa uongo ni shetani.
 
1 September 2020
Dodoma, Tanzania

Bila Uwoga SUGU ailipua TUME ya UCHAGUZI, Amtaja Katibu wa CCM, - "Amani ya nchi Ipo mikinoni Mwao"



Wabunge Wa CHADEMA Walioenguliwa Na Wasimamizi Wa Uchaguzi Katika Majimbo Mbalimbali Wamekutana Na Waandishi Wa habari jijini Dodoma Kuiomba Tume Ya Uchaguzi Kutoa Majibu Ya Rufaa Walizokata... kwa ujumla kuna wabunge na madiwani jumla yao zaidi ya 1, 000 wapo Dodoma wakifuatilia rufani walizokata Tume ya Uchaguzi.

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Joseph Mbilinyi abainisha Mbeya mjini madiwani 16 wameenguliwa, aiasa Tume ya Uchaguzi Taifa kuwa wana dhamana kubwa kuhakikisha rufani za wagombea ubunge walioenguliwa na Wasimamizi wa Uchaguzi katika majimbo mbalimbali zinatendewa haki kwa haraka ili wakaendelee na kampeni za kunadi sera na kuomba kuchaguliwa na wananchi.

Mjumbe huyo wa Kamati Kuu ya CHADEMA anasema Hali ya kisiasa ni mbaya sana inatishia amani kutokana na Ma-DC na DED kuvuruga mchakato wa uchaguzi na ndiyo maana wapo Dodoma kuipatia Tume ya Uchaguzi ukweli wa kilichofanyika ktk kuenguliwa kihuni na Wasimamizi wa Uchaguzi walioteuliwa na Tume ya Uchaguzi kusimamia zoezi hilo muhimu ktk majimbo mbalimbali nchini.


2 September 2020

Mwanasheria wa ACT Wazalendo atowa kauli kuenguliwa wagombea

Dawa inachemka
 
Jikite kwenye hoja, kwani upinzani tu ndio uonekane unakosea taratibu na kanuni za uchaguzi? Hili ni swali ambalo upinzani wamekuwa na muda kulitafutia ufumbuzi, (tokea uchaguzi wa serikali za mitaa) lakini wameamua kulipuuzia. Na yote hii inatokana na mambo mawili, ukwasi, na kutengeneza hoja.
Ulivyo mbumbumbu mwenyewe umeuliza "kwa nini ni upinzani tu ndio uonekane umekosea taratibu na kanuni za uchaguzi tokea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka jana. Maana yake umeuliza ni kwa nini iwe awamu hiii tuu!
Binadamu timamu lazima ajiulize,kwa nini ni awamu hii tu.
 
Ulivyo mbumbumbu mwenyewe umeuliza "kwa nini ni upinzani tu ndio uonekane umekosea taratibu na kanuni za uchaguzi tokea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka jana. Maana yake umeuliza ni kwa nini iwe awamu hiii tuu!
Binadamu timamu lazima ajiulize,kwa nini ni awamu hii tu.

Post yangu namba #18 kwenye uzi huu inakupa majibu ya maswali yako.

Btw, ukatwaji umekuwepo tokea uchaguzi wa kwanza 1995, sio jambi geni. Rufaa za kabla ya uchaguzi na baada ya uchanguzi nazo zimekuwepo tokea 1995. Tatizo mitandao inaongozwa na vijana ambao aidha wavivu wa kumbukumbu, au hawakuwepo kwenye ulingo wa siasa za miaka ya zamani. Ndio maana wengi wanaona ni jambo la ajabu, lakini sio jambo la ajabu.
 
1 September 2020
Dodoma, Tanzania

Bila Uwoga SUGU ailipua TUME ya UCHAGUZI, Amtaja Katibu wa CCM, - "Amani ya nchi Ipo mikinoni Mwao"



Wabunge Wa CHADEMA Walioenguliwa Na Wasimamizi Wa Uchaguzi Katika Majimbo Mbalimbali Wamekutana Na Waandishi Wa habari jijini Dodoma Kuiomba Tume Ya Uchaguzi Kutoa Majibu Ya Rufaa Walizokata... kwa ujumla kuna wabunge na madiwani jumla yao zaidi ya 1, 000 wapo Dodoma wakifuatilia rufani walizokata Tume ya Uchaguzi.

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Joseph Mbilinyi abainisha Mbeya mjini madiwani 16 wameenguliwa, aiasa Tume ya Uchaguzi Taifa kuwa wana dhamana kubwa kuhakikisha rufani za wagombea ubunge walioenguliwa na Wasimamizi wa Uchaguzi katika majimbo mbalimbali zinatendewa haki kwa haraka ili wakaendelee na kampeni za kunadi sera na kuomba kuchaguliwa na wananchi.

Mjumbe huyo wa Kamati Kuu ya CHADEMA anasema Hali ya kisiasa ni mbaya sana inatishia amani kutokana na Ma-DC na DED kuvuruga mchakato wa uchaguzi na ndiyo maana wapo Dodoma kuipatia Tume ya Uchaguzi ukweli wa kilichofanyika ktk kuenguliwa kihuni na Wasimamizi wa Uchaguzi walioteuliwa na Tume ya Uchaguzi kusimamia zoezi hilo muhimu ktk majimbo mbalimbali nchini.


2 September 2020

Mwanasheria wa ACT Wazalendo atowa kauli kuenguliwa wagombea


Yawezekana tume ina upofu na ukiziwi ina macho haioni ina maskio haisikii. Kuna nia ovu iliyokusudiwa si kwamba tume iko kimya pasipo sababu.
Mungu ibariki Tanzania, wape hekima wanaihusika ili amani, heshima na upendo visiangamizwe
 
Vyama vya siasa vinatakiwa kutoa elimu kwa wagombea wao kwa wakati. Mtu anajaza jina lake kwenye sehemu ya tarehe ya kuzaliwa, unategemea msimamizi wa uchaguzi atafanya nini. Kama ni job interview, unategemea utaitwa tena?
Vyama vya upinzani hilo hawalioni kabisa.
Wakening semina chukka msimamizi wa uchaguzi awaseminishe maana ni haki yao.
Lakini huu ujuaji mtazidi kuumiza wananchi bure.
Na kulaumu wasimamizi.
 
Nimeona video ya mdada anaegombea Muheza na Mwana FA nikajua kwanini wapinzani hawataki wafanye kampeni!
 
Back
Top Bottom