johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,615
- 141,439
Natoa angalizo na nina imani Mbowe na Mnyika mnanisikia popote mlipo.
Ni kwamba kulikoni kutuletea sintofahamu katikati ya muhula ni bora hawa wagombea wenu wa Ubunge mkawalisha yamini au kiapo ili wasituache kwenye mataa katikati ya muhula na kukimbilia CCM.
Tumechoka na habari ya kumchagua Mbunge huyo huyo mara mbili kama ilivyokuwa kwa Mwita Waitara.
Maendeleo hayana vyama!
Ni kwamba kulikoni kutuletea sintofahamu katikati ya muhula ni bora hawa wagombea wenu wa Ubunge mkawalisha yamini au kiapo ili wasituache kwenye mataa katikati ya muhula na kukimbilia CCM.
Tumechoka na habari ya kumchagua Mbunge huyo huyo mara mbili kama ilivyokuwa kwa Mwita Waitara.
Maendeleo hayana vyama!