Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Hakuna katiba inayoruhusu wizi na ufisadiUkiziba matundu kwenye katiba ya nchi, huwezi kuona katiba za kihuni za vyama.
Tusikwepe uwajibikaji
Tusafishe wanasiasa wafujaji na wezi ili waliobaki watupe katiba safi