Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,893
- 31,101
Wadau wote wa uchaguzi mkuu hasa vyama vya siasa CHADEMA na ACT Wazalendo tafadhali sana wakati wa kujaza fomu ni muhimu wakasaidiwa na wanasheria ili kupuka kuwekewa mapingamizi kwa makosa madogo madogo.
Mfano katika uchaguzi mkuu uliopita kuna mgombea udiwani wa CHADEMA alienguliwa kwasababu ya kuandika CDM badala ya CHADEMA.
Kwakuwa Katibu Mkuu Mnyika yupo ofisini full time ni vyema na bora akatengeneza utaratibu wa wagombea wote wanajaza form bila makosa kuepuka kuenguliwa. Pia lipa suala la kuunga mkono juhudi ni vyema likatazamwa kwa umakini.
Mfano katika uchaguzi mkuu uliopita kuna mgombea udiwani wa CHADEMA alienguliwa kwasababu ya kuandika CDM badala ya CHADEMA.
Kwakuwa Katibu Mkuu Mnyika yupo ofisini full time ni vyema na bora akatengeneza utaratibu wa wagombea wote wanajaza form bila makosa kuepuka kuenguliwa. Pia lipa suala la kuunga mkono juhudi ni vyema likatazamwa kwa umakini.