MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
Wagombea urais wa Somalia wanawasilisha manifesto zao mbele ya bunge, kabla ya uchaguzi wa Jumatatu ambapo rais atachaguliwa na bunge.
Wabunge wataamua wanayemtaka kuongoza nchi kati ya wagombea 25.
Waandishi wa habari wanasema rais wa sasa, Sharif Sheikh Ahmed, ambaye ameongoza nchi tangu mwaka wa 2009, ni kati ya wagombea wanaoongoza.
Via http://www.bbc.co.uk
Wabunge wataamua wanayemtaka kuongoza nchi kati ya wagombea 25.
Waandishi wa habari wanasema rais wa sasa, Sharif Sheikh Ahmed, ambaye ameongoza nchi tangu mwaka wa 2009, ni kati ya wagombea wanaoongoza.
Via http://www.bbc.co.uk