Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,761
- 2,311
Hawa ni wageni kutoka kanda kavu juu ya anga,wenye mahusiano mazuri na clone yao ya bustani tengwa(kipande ardhi/dunia)...ni warefu wenye na ngozi yenye weupe mithili ya chaki,wakati macho yao yakiwa ng'aavu kwa rangi mchanganyiko wa samawati kwa manjano...
Wageni hawa maaru kama malaika,miungu n.k,hutembelea maeneo muhimu na maalumu kwa majukumu yao na kuna nchi kadhaa hutambua haya mfn,mataifa ya amerika ya kaskazini,asia,mxico,na kwingineko...
Wageni hawa maumbo yao ni kama binadamu tu ila utofauti ikiwa miili yao ni mikubwa na haswa wakiwa sambamba na mfanano wa watu wa mataifa ya kizungu austria,poland,german,italy,u.k nzima kiujumla nikimaanisha (wazungu wote)wanafanana na wageni hawa....
taarifa za usiri ndizo zenye kuwaficha wageni hawa na kuonekana kama hadithi za pwagu na pwaguzi...
Wageni hawa maaru kama malaika,miungu n.k,hutembelea maeneo muhimu na maalumu kwa majukumu yao na kuna nchi kadhaa hutambua haya mfn,mataifa ya amerika ya kaskazini,asia,mxico,na kwingineko...
Wageni hawa maumbo yao ni kama binadamu tu ila utofauti ikiwa miili yao ni mikubwa na haswa wakiwa sambamba na mfanano wa watu wa mataifa ya kizungu austria,poland,german,italy,u.k nzima kiujumla nikimaanisha (wazungu wote)wanafanana na wageni hawa....
taarifa za usiri ndizo zenye kuwaficha wageni hawa na kuonekana kama hadithi za pwagu na pwaguzi...