Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
Wangapi tuliwahi kupokea mgeni ambaye ameomba umpe hifadhi one night lakini mwisho wa siku wiki,mwezi, miezi ikakatika bila dalili yeyote ya mgeni kuondoka!!,Je?ulitumia mbinu gani kumchomoa?