CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Wageni wa siku hizi wazuri sana,si wasumbufu kama wazamani.
Wakifika kwako hawaulizi chai,juice,soda wala maji ya kunywa,
Kitu cha kwanza wakifika nyumbani kwako wanauliza 'UNA CHAJI YA PINI NDOGO?'
Wakifika kwako hawaulizi chai,juice,soda wala maji ya kunywa,
Kitu cha kwanza wakifika nyumbani kwako wanauliza 'UNA CHAJI YA PINI NDOGO?'