Waganga wengine bwana!

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
[MGANGA WA KIENYEJI];Kwa dalili unazoonesha,nahisi una malaria hivyo nakushauri ukanywe fansidar. [MGONJWA];Kwenda zako huko,we tapeli nini,mganga wa kienyeji na Fansidar wapi na wapi?,we niambie kaniroga nani?
 
Back
Top Bottom