MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,517
- 1,367
Yaani hawa waganga wataendelea na shughuli zao tuu..hawatambui kauli ya Pinda Kufuta Leseni zao na kuwataka waombe leseni upya!
Je huu ndo utawala wa Sheria?
Au Watz hatuigopi serikali?
Sijui yaani nihamie kule China!!!!
We acha tu!
Source: BBC NEWS | Africa | Tanzania witchdoctors flout ban
Je huu ndo utawala wa Sheria?
Au Watz hatuigopi serikali?
Sijui yaani nihamie kule China!!!!
We acha tu!
Source: BBC NEWS | Africa | Tanzania witchdoctors flout ban