miami0101
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,336
- 1,271
(i)Katika pitapita zangu kwa hawa mafundi mbalimbali nimegundua sikuhizi hamna wale waganga kama tuliokua tunawasikia zamani (wanaoweza kumpa mtu utajiri kwa masharti)
(ii)Pili nimegundua waganga wengi ni waongo na wapiga pesa tu hawasaidii chochochote
(iii)nimegundua kua kila mganga ana kitu alichobobea,hawezi kufanya mambo yote, utampata ambae anajua sana masuala ya kukusaidia katika masuala ya kesi,lakn vingne hamna kitu.. mfano mimi katika pitapita zangu nimewahi kukutana na mtaalamu mmoja,huyu ni master sana wa mambo ya mahusiano, huyu hashindwi na kitu kinachohusu mahusiano ya kimapenzi ni mnoma sana wa hayo mambo, lakin ukija suala la kumnyooshea mtu maisha ni mtihani kwake.
Hawa waganga wa kumpa mtu utajiri wa pesa za moto walikufa wote auvipi? Wanapatikana wapi?
(ii)Pili nimegundua waganga wengi ni waongo na wapiga pesa tu hawasaidii chochochote
(iii)nimegundua kua kila mganga ana kitu alichobobea,hawezi kufanya mambo yote, utampata ambae anajua sana masuala ya kukusaidia katika masuala ya kesi,lakn vingne hamna kitu.. mfano mimi katika pitapita zangu nimewahi kukutana na mtaalamu mmoja,huyu ni master sana wa mambo ya mahusiano, huyu hashindwi na kitu kinachohusu mahusiano ya kimapenzi ni mnoma sana wa hayo mambo, lakin ukija suala la kumnyooshea mtu maisha ni mtihani kwake.
Hawa waganga wa kumpa mtu utajiri wa pesa za moto walikufa wote auvipi? Wanapatikana wapi?