Mpeni sifa Yesu
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 646
- 129
Miaka yote tz tunajua wakati kama huu waganga wa kienyeji ndio wanatajirika kwa pesa toka wa wanasiasa....hivi ni lini tutafuta kabisa huu upupu unatuchafulia sifa taifa letu?....jamani mimi hata nikitembea nchi gani sasahivi, ni immigration na office muhimu tu ndio zitajua kama natoka tz,...ni aibu kuonekana kuwa unatoka tz watu wanaona kama wewe ni mwuaji...uingereza watu hawana hamu na tz kutokana na matangazo mengi ya albino wanaouawa...
Last edited by a moderator: