TEAM VIBAJAJI
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 1,858
- 2,286
Habari zenu wakuu
Naomba nisiwachoshe kilichonileta hapa mbele yenu nikuwajuza uwepo wa hawa waganga feki wanaolazimisha wateja kwanguvu.
Muda simrefu nimepokea sms kutoka kwa anaye jiita babu mwenye namba 0753460188 akijifanya alikua anamtumia rafiki yangu ambaye nimmiliki wa mabus hapa nchini akimpa lawama kuhusu mimi kwamba baada ya kunipa utajiri kwasasa simjali tena kama anavyo fanya huyo rafiki yangu hivyo amemwambia aje anipetahadhali kwamba siku sionyingi mali zangu zitaanza kuteketea na nikabaki bila kitu hivyo natakiwa nimtafute tukayajenge kitu ambacho sio cha kweli.
Hivyo basi naomba tuwe makini na watu wa namna hii kwani niwatu wanaonekana kutumia muda wao mwingi kupata taarifa zako pindi wakikuhitaji kwani kwawalivyo elezea nidhahili kwamba niwatu wanao nifaham.
Nihayo tu wakuu
Naomba nisiwachoshe kilichonileta hapa mbele yenu nikuwajuza uwepo wa hawa waganga feki wanaolazimisha wateja kwanguvu.
Muda simrefu nimepokea sms kutoka kwa anaye jiita babu mwenye namba 0753460188 akijifanya alikua anamtumia rafiki yangu ambaye nimmiliki wa mabus hapa nchini akimpa lawama kuhusu mimi kwamba baada ya kunipa utajiri kwasasa simjali tena kama anavyo fanya huyo rafiki yangu hivyo amemwambia aje anipetahadhali kwamba siku sionyingi mali zangu zitaanza kuteketea na nikabaki bila kitu hivyo natakiwa nimtafute tukayajenge kitu ambacho sio cha kweli.
Hivyo basi naomba tuwe makini na watu wa namna hii kwani niwatu wanaonekana kutumia muda wao mwingi kupata taarifa zako pindi wakikuhitaji kwani kwawalivyo elezea nidhahili kwamba niwatu wanao nifaham.
Nihayo tu wakuu