Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Wakati wa harakati za kuingia kwenye EAC hasa Common Market tayari waganda wameteka soko la ualimu mkoani Kagera hasa wiliya za Karagwe,Bukoba mjini na vijijini hasa kwenye private English medium na secondary school.Kitu gani kimechangia kuwa hivi
1.Imani ya watu wengi kuwa waganda wana akili kuliko Watanganyika na Wazanzibari
2.Waganda wanajua Kiingereza kuliko Watanganyika na Wazanzibari
3.Waganda wanafanya kazi kwa umaki kuliko wazawa
4.Mshahara wao siyo mikubwa kwani pesa yetu inathamani kuliko ya Uganda
Mfano wa shule hizo ni KEMEBOS,BUHEMBE ENGLISH MEDIUM,AMANI PR. AND SEC. SCHOOL,RWEIKIZA ENG.MEDIUM (MB-BK VJ)KAJUMURO GIRLS(MB-MULEBA-ANA TIBA)TWEYAMBE nk.
Je kuna sababu za msingi kuwatumia hao watu wakati wabongo wapo?
1.Imani ya watu wengi kuwa waganda wana akili kuliko Watanganyika na Wazanzibari
2.Waganda wanajua Kiingereza kuliko Watanganyika na Wazanzibari
3.Waganda wanafanya kazi kwa umaki kuliko wazawa
4.Mshahara wao siyo mikubwa kwani pesa yetu inathamani kuliko ya Uganda
Mfano wa shule hizo ni KEMEBOS,BUHEMBE ENGLISH MEDIUM,AMANI PR. AND SEC. SCHOOL,RWEIKIZA ENG.MEDIUM (MB-BK VJ)KAJUMURO GIRLS(MB-MULEBA-ANA TIBA)TWEYAMBE nk.
Je kuna sababu za msingi kuwatumia hao watu wakati wabongo wapo?