Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Abiria wamefurika stendi ya mabasi ubungo na wengi wamekosa usafiri
wengine wamelalamika kupandishiwa nauli tofauti na nauli za kawaida
Angalau watu10 wamekamatwa na polisi kwa kuzididisha nauli