Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,225
- 78,945
Unaweza ukaliwa wewe😅Napenda kufuga Pitbull ila nasikia ni hatari sana unaweza ukapata kesi ya mauaji ngoja niendelee kufuga hawa wala "NYA".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza ukaliwa wewe😅Napenda kufuga Pitbull ila nasikia ni hatari sana unaweza ukapata kesi ya mauaji ngoja niendelee kufuga hawa wala "NYA".
Kha kwanini sasa?Usiniletee mafuriko
Wahuni sio watu wazuri 😂Nilipewa puppy na rafiki yangu ili nimfuge sasa ile nimefika nae home usiku akalala
Asubuhi naamka hayupo kumbe mdogo wangu aliacha geti wazi puppy akatoka watu wakapita nae
Ngoja niwatag kama mia hivi naanza na The Icebreaker ,unafuga mbwa?Sitawamudu
Je sisi tunaofuga hii mijibwa koko ya kwetu uswahilini ambayo inashinda huko majalalani kula mavi ya waleviMpendwa mwana JF, unaweza kushangaa kusikia kuwa mbwa ni biashara nzuri kupita hata kufuga ng'ombe kibiashara na ukashangaa.
Uzi huu utakuwa ni maalum katika kupeana uzoefu katika biashara hii ya kufuga mbwa kwa lengo la kujipatia kipato na ulinzi pia.
Tutajifunza aina bora na inayohimili mazingira yetu hasa Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.
Hivyo mdau ikiwa wewe ni mfugaji wa wanyama hawa kibiashara, nakukaribisha sana utupatie uzoefu juu ya aina mbali mbali mfano;
a) German shephard
b) Belgian shephard
c) Bull dog
d) Rottweiler
e) Ridge back nk
mambo muhimu ya kupeana uzoefu;
1) banda/ nyumba bora ya kufugia
2) chanjo
3) Masoko nk
View attachment 916841View attachment 916842View attachment 916844
Ni nakukaribisha utupe uzoefu wako na kwa wale wanaotamani kujifunza mnakaribishwa kwa maswali na wadau watakujibu
Maelezo ya German Shepherd hapa
Maelezo ya Belgian Shepherd hapa
Nafuga ila sio kwa ulinzi wala sio kwa biashara.Ngoja niwatag kama mia hivi naanza na The Icebreaker ,unafuga mbwa?
Kwa mapambo?😀Nafuga ila sio kwa ulinzi wala sio kwa biashara.
Sio kweli...ni mlugulu🙂Mchina huyo
Yes.Kwa mapambo?😀
Kabisa ni hatari sana.Unaweza ukaliwa wewe😅
Anza na kama huyu. Ninampenda sana, my DUMA!Nikitaka kufuga mbwa nianze na yupi?
nataka mbwa msafi mwenye sura nzuri.