Hapana,Nimemwita dokta kamdunga sindano...Anakula siku hizi.Bado amegoma?
Dr. Chuma 0754374013
Mkuu usitafute mbwa rahisi bali mbegu bora hutojuta.Mkuu nina eneo fulan lik wazi kma square metre 250 huko kimara golani, nataka nifuge mbwa wa kibiashara mwakani nikiwa na kma milion 5(kwa ajili ya puppies na vyakula vyao mpaka uzao wa wwngine kuwauza) je itatosha hpo tayari nikiwa nimeshajenga mabanda yao kma matatu hvi yenye nafasi ya upana wa mita 2 kwa 2 kila moja, je hyo bajeti itatosha kwa mbwa wapi ambao ni rahisi kununulika na wasio na gharama kubwa??
Mkuu usitafute mbwa rahisi bali mbegu bora hutojuta.
Kwasasa German shephard aina ya seble haitakuangusha kwa soko
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Sable mzuri kuanzia 1m hadi 1.5m mkuuKwa hyo bubget inatosha hao sable wangapi??
Naweza kukutumia aina tofauti kwa whatsappKwa hyo bubget inatosha hao sable wangapi??
Unaonaje ufungue mbwa wa kabwela?Mbona sioni picha za mbwa Koko wetu?
Acha kupenda vitu vya mabeberu chief na kudharau vya kwako.
Achaaa.
kavu sana we jamaaMie nafugaga hii mijibwa ya uswazi (koko)
Yenyewe hayana gharama ya misosi maana yanakula chochote yanachokiona hata mavi ya walevi.!
Halafu wakiwa wengi huwa tunaua kisha tunawachuna na kuwapelekea wauza supu wa bar wao huchanganya na nyama ya mbuzi ili kuleta kale kaharufu ka kimbuzimbuzi kisha hupikwa supu na kuuziwa wateja.
Huyu mbwa au pambo? Tukiweka masihara pembeni, anaweza kukimbiza mwizi kweli huyu?haya tuendelee na kazi yetu kabla hujaenda harusini hahahaView attachment 888628
Hili ni pambo to kwa dog loversHuyu mbwa au pambo? Tukiweka masihara pembeni, anaweza kukimbiza mwizi kweli huyu?
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Hapo sawa. Maana angekuwa mlinzi, wanaiba hadi yeye mwenyewe