Wafugaji wa mbwa kibiashara au ulinzi tukutane hapa

Hio mbwa ya pili kwrnye picha zimeamia shambani hapa hm zipo 3 tunampango wa kuziua kama muhusika hatatoea maana mpk yanaogopesha yalivyo makubwa
 
Hii ilimkuta maza mwaka jana kuna GS alihamia Hm mwenyewe akawa kashatozoea fanilia usiku wa kuamkia x mas ya mwaka 2019 maza katoka nunua vitu kafika hm mbu akamjerui kwa kumng'ata asubui ilipofika nae tulimpeleka mbinguni sasa sahivi wameamia wa3 hapa home hao now ni plan za kuwaua tu maana hatutaki matatizo maana inaonekana hawa ndo pure kabisa si watatumaliza
Ngoja niwape kisa kilimtokea family friend mmoja mwaka 2015 msimu wa xmass na mwaka mpya.

Jamaa alikuwa na GS wako nane. Kawaida huwapa msosi kila siku usiku mida ya saa 4 baada ya watu wote kuingia ndani maana ni wakali mno. Na zoezi la chakula kuna shamba boy huwa ndie anawahudumia mbwa.

Sasa shamba boy xmass alienda kwao kula sikukuu. Na family friend yeye ni mtu wa tungi sana huwa anakesha baa na wajomba zangu.

Siku shamba boy alipoondoka jamaa akawa amelewa zake akarudi home akapitiwa akalala (mbwa hawakupewa chakula kama kawaida).

Akaamka asubuhi akaandaa msosi vizuri akafungulia banda la kwanza. (Amewagawa katika mabanda mawili wanne wanne).

Baada ya kufungua banda la kwanza mbwa mmoja akaanza kumkoromea kwa hasira sana kisha akamrudia, wale wengine watatu nao wakamrukia wakaanza kumrarua kwa hasira, wale wengine ndani nao wakapandwa na wazimu mpaka wakavunja banda wakaungana na wenzao.

Mke wa jamaa ni mayowe tu kwa dirishani anashuhudia mumuwe anavyotafunwa bila kuwa na lakufanya. Watoto vilio mpaka majirani wakasogea karibu.

Bahati nzuri kuna mtoto wa jirani ni rafiki wa shamba boy na mara nyingi wakiwa wanalisha mbwa wanakuwa wote hivyo wale mbwa wamemzoea sana.

Basi dogo ndio kuingia pale akawatuliza mbwa na jamaa kukimbizwa hospital ambapo alilazwa miezi mitatu akiwa hana fahamu.

Kusema ukweli yule jamaa kama angekuwa kapuku wala asingepona kwa shambulio lile. Pesa ilimuokoa.

Baada ya kurudi uraiani alikuwa amefungwa POP miguuni wala kutembea bila magongo hawezi. Aliwatandika risasi mbwa wote na mpaka sasa sijui kama anafuga tena.

Mbwa ni Loyal Friend kuliko hata binadamu lakini ni hatari sana pia.

Wafugaji tuzingatie Terms and Conditions

 
Hii ilimkuta maza mwaka jana kuna GS alihamia Hm mwenyewe akawa kashatozoea fanilia usiku wa kuamkia x mas ya mwaka 2019 maza katoka nunua vitu kafika hm mbu akamjerui kwa kumng'ata asubui ilipofika nae tulimpeleka mbinguni sasa sahivi wameamia wa3 hapa home hao now ni plan za kuwaua tu maana hatutaki matatizo maana inaonekana hawa ndo pure kabisa si watatumaliza
Wapi huko chief mnapata mbwa wazuri namna hiyo wanahamia tu.
 
Mkuu huyu naona ni Belgian Malinois BM????
Hawa mbwa huwa wazuri sana kwa ulinzi, jspo ni wsksli mno

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huyu ni Golden shepherd, parents wake ni GSD sema madume yalikua mawili mmoja Golden GSD kama huyu na mwingine ni GSD mwenye black and brown coat .
48605418.jpg
371871973.jpg


Few years from now you may wish you should have started today...
 
GSD

full vaccinated

2 months

200K

dsm
 

Attachments

  • IMG_8165.jpg
    IMG_8165.jpg
    8.8 KB · Views: 22
  • IMG_8159.jpg
    IMG_8159.jpg
    12 KB · Views: 20
  • IMG_8163.jpg
    IMG_8163.jpg
    11.4 KB · Views: 20
  • IMG_8160.jpg
    IMG_8160.jpg
    11.6 KB · Views: 22
Hiki ni chuma gani wakuu?
 
Wakuu ninauza mbwa wangu Boerboel 1m tu, mkubwa, mbavu nene ni mtata sana ila pia ana mafunzo akikuzoea ana obey order hata kwa watoto wadogo anakuwa friend. Serious buyer nicheki PM napatkana Mwanza big bite.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom