Wafugaji wa mbwa kibiashara au ulinzi tukutane hapa

Mi nafunga mbwa wa kiswahili na wako vzr Sana,kiulinzi ata adabu pia.nawapa huduma zote stahiki ikiwa chakula,chanjo zote,na kuoga kira jpili.kiukweli ulinzi tosha..
Hivi hawa wa kiswahili ni breed gani? Hamna aliefanya kautafiti tujue
 
KWA USHAURI NA MAFUNZO BORA JUU YA UFUGAJI WA MBWA WA KISASA. TEMBELEA INSTAGRAM ACCOUNTI YENYE JINA LA @King_Dawgz
 
Mwanza mjini kuna jamaa mfugaji maarufu nimepoteza namba zake, huyu anajuana na wafundishaji wengi au fika kikosi cha mbwa na farasi
M
Mbwa wangu Ni chotara nataka nimpe mafunzo ya ulinzi ana umri wa miezi 6 naombeni procedures za kumpa mafunzo wakuu nipo Mwanza mjini
 
napenda mbwa sana but huyu hajawahi nivutia mkuu
unaweza wafuga aina zotehizo za mbwa..kwa mfano nina eneo kubwa sana naona mbwa wawili hawatoshi nahitaji mbwa kuanzia 6 kwenda mbele..

swali langu ni: naweza fuga aina tofauti za mbwa nikafuga German wawili,belgian tuveren wawili,nk yani nichanganye aina na wote niwafungulie eneo moja??

Kuna madhara ki afya na je wanapatana au ndio isije kua kama ya KUKU kudonoana maana hamna kitu sipendi kama kuona kidonda kwa mbwa au mnyama yeyote ana kidonda.
 
@Tundapori
unaweza wafuga aina zotehizo za mbwa..kwa mfano nina eneo kubwa sana naona mbwa wawili hawatoshi nahitaji mbwa kuanzia 6 kwenda mbele..

swali langu ni: naweza fuga aina tofauti za mbwa nikafuga German wawili,belgian tuveren wawili,nk yani nichanganye aina na wote niwafungulie eneo moja??

Kuna madhara ki afya na je wanapatana au ndio isije kua kama ya KUKU kudonoana maana hamna kitu sipendi kama kuona kidonda kwa mbwa au mnyama yeyote ana kidonda.
Huyo jamaa Tundapori ni mwalimu mzuri anaweza kutusaidia
 
unaweza wafuga aina zotehizo za mbwa..kwa mfano nina eneo kubwa sana naona mbwa wawili hawatoshi nahitaji mbwa kuanzia 6 kwenda mbele..

swali langu ni: naweza fuga aina tofauti za mbwa nikafuga German wawili,belgian tuveren wawili,nk yani nichanganye aina na wote niwafungulie eneo moja??

Kuna madhara ki afya na je wanapatana au ndio isije kua kama ya KUKU kudonoana maana hamna kitu sipendi kama kuona kidonda kwa mbwa au mnyama yeyote ana kidonda.
Tundapori
 
Nina German shepherd wangu nyama huwa naenda Machinjoni kuwachukulia ,hawali kitu kingine zaidi ya nyama na maziwa

Ofcoz nikila ganja zangu nao huwa wanavuta ,kila jumapili nawatia Red wine glass basi burudani kabisa.

Napenda mbwa sana kiasi kwamba wananipa faraja
Huwapikiii uji uji wa nafaka na kuchanganya na maziwa na nyama
 
Mpendwa mwana jf, unaweza kushangaa kusikia kuwa mbwa ni biashara nzuri kupita hata kufuga ng'ombe kibiashara na ukashangaa.

Uzi huu utakuwa ni maalum katika kupeana uzoefu katika biashara hii ya kufuga mbwa kwa lengo la kujipatia kipato na ulinzi pia.

Tutajifunza aina bora na inayohimili mazingira yetu hasa Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.
Hivyo mdau ikiwa wewe ni mfugaji wa wanyama hawa kibiashara, nakukaribisha sana utupatie uzoefu juu ya aina mbali mbali mfano;

a) German shephard
b) Belgian shephard
c) Bull dog
d) Rottweiler
e) Ridge back nk

mambo muhimu ya kupeana uzoefu;
1) banda/ nyumba bora ya kufugia
2) chanjo
3) Masoko nk

View attachment 916841View attachment 916842View attachment 916844



Ni nakukaribisha utupe uzoefu wako na kwa wale wanaotamani kujifunza mnakaribishwa kwa maswali na wadau watakujibu


Maelezo ya German Shepherd hapa

Maelezo ya Belgian Shepherd hapa

Dah KingY ulikosea sana kubadilisha avatar Picha yako tuliyokuzoea yani nimekuja kukumbuka kwenye huu uzi wako
 
Back
Top Bottom