Wafugaji wa kuku wa kienyeji tukutane hapa

hata mimi

JF-Expert Member
Oct 17, 2017
1,356
1,437
Tujadili kuhusu kuku wa kienyeji

-Naanza kwa kuuliza hivi unamgunduaje jogoo angali kifaranga?

-Tunaambiwa mdondo hauna tiba, je inachukua muda gani kuku akishapatwa na ugonjwa huo?
 
Ni kwel newcasttle aina tiba km unavojua magnjwa mengi ya virus ayanaga tiba zaida ya chanjo ila kuna dawa kama limocin OTC 50% znasaidia kupunguza athari zake na ufanya kuku kupona
Tujadili kuhusu kuku wa kienyeji

-Naanza kwa kuuliza hivi unamgunduaje jogoo angali kifaranga?

-Tunaambiwa mdondo hauna tiba, je inachukua muda gani kuku akishapatwa na ugonjwa huo?
 
Uzi mzur sanaa tafadhal wadau tushushe nondo with real experience hata ss tunaoanza kufuga wa kienyeji tupate elimu
 
 
Mimi kuku wangu wanakuwa kama wana mafuwa wanakoroma na kupiga chafya. Tatizogani na matibabu yake ni gani jamani?
 
Ni kwel newcasttle aina tiba km unavojua magnjwa mengi ya virus ayanaga tiba zaida ya chanjo ila kuna dawa kama limocin OTC 50% znasaidia kupunguza athari zake na ufanya kuku kupona
Ukifuatilia Sana utagundua katika mpangilio wa chanjo za kuku Newcastle haimo kwa kuku wa kienyeji
 
Wakuu msaada wa haraka kuku wangu wanapumua kwa shida na wanapumulia mdomo wanatoa mlio Kama wa filimbi au mluzi

Ugonjwa gan huu?

Dawa gan nitumie?
 
Naomba kujua sababu ya kuku kula mayai na Nini tiba yake
Sababu ya kuku kula mayai n kama ifuatavyo.

Wanaeza kua wamekosa madini(Minerals) Hasa Calcium na Phosphate sasa wanaitafuta kwenye mayai.

Kuwapa chakula kidg kuliko wanacho hitaji.

Solution kama mambo yote hapo juu yapo sawa, Jaribu kukata midomo hao kuku wataacha.

By the way. Kuku wako ni wa aina gani? Na wana umri gani?

NB: Ukihitaji LOGO | POSTER | BANGO KWA AJILI YA BIASHARA usisite kunicheki.
 
Nafuga kuku wa kienyeji nilichojifunza ni kuwapa chanjo zote chakula ,maji na vitamins wanataga vizuri na wanakuwa na nyama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom