salmin siraj
Senior Member
- Oct 10, 2017
- 198
- 204
Bila kusahau Cipro
Nitaitafuta hiyo
Nitaitafuta hiyo
Mkuu funguka maana mm nawafuga TU kiholela wanafka hata 100 kwa Sasa
Vitamin zipi ?
Chanjo zipi?
Chakula gan unatumia?
Kuku n siku 21 had 23 TU zaidi d ya hapo Kuna shidaUFUGAJI WA KUKU.
Wakuu habari ya leo.
Naomba kujua/kuuliza suala moja.
Kuku wa kienyeji anaweza kuhatamia mayai kwa muda gani? Mfano niliwawekea mayai ya Kanga na wamelalia kwa siku 28 lakini hakuna kitu, hivyo nilitaka kuwabadilishia kuweka ya Kuku, je wanaweza kuhatamia mpaka mwisho?
Naomba kufahamishwa tafazali.