Wafuatao waliwahi kukutana uso kwa uso na busara na hasira za Mwalimu Nyerere!..

Wachungaji mnaofufua watu kwanini msiungane kumfufua Nyerere afufuke ajionee haya mambo yanayotendeka sasa hivi.
 
Yeriko Nyerere siyo wewe pekee unayemkumbuka Nyerere, angekuwepo hakika haya makabila makubwa kama WACHAGGA wasingetusumbua na siasa zao za Ukanda na serikali tatu.
 
Wachungaji mnaofufua watu kwanini msiungane kumfufua Nyerere afufuke ajionee haya mambo yanayotendeka sasa hivi.

Ya makabila makubwa kama WACHAGGA kudai serikali tatu na kutaka kuchukua dola,mambo ambayo alikuwa akiyapiga vita sana.
 
Mtakatifu Julius Nyerere hata sahaulika kwa hayo

Hata sahaulika kwa dhulma aliofanya!

Na mauaji aliyo sababisha!

Wazee wameliwa na wanyama pori! Kwa sababu huyo Nyerere alio laaniwa aliwafukuza ktk majumba yao na kuwahamishia maporini KWA NGUVU! wakati yeye na mkewe wanagegedana kule butiama kwa raha zao!

Usinichafue saa hizi hapa! Kwa kumsifu Muuwaji MBAGUZI. MDINI MMOJA alikufa na laana za mamilioni ya watu!

Na nina haki hivi sasa yuko JEHANNAMU YA MOTO ANAPIGA YOWE OVYO pamoja na kina FERAUNI!
 
Hata sahaulika kwa dhulma aliofanya!

Na mauaji aliyo sababisha!

Wazee wameliwa na wanyama pori! Kwa sababu huyo Nyerere alio laaniwa aliwafukuza ktk majumba yao na kuwahamishia maporini KWA NGUVU! wakati yeye na mkewe wanagegedana kule butiama kwa raha zao!

Usinichafue saa hizi hapa! Kwa kumsifu Muuwaji MBAGUZI. MDINI MMOJA alikufa na laana za mamilioni ya watu!

Na nina haki hivi sasa yuko JEHANNAMU YA MOTO ANAPIGA YOWE OVYO pamoja na kina FERAUNI!

Imani yako inakuagiza kuwafanyia nini Marehemu?
 
Yeriko Nyerere siyo wewe pekee unayemkumbuka Nyerere, angekuwepo hakika haya makabila makubwa kama WACHAGGA wasingetusumbua na siasa zao za Ukanda na serikali tatu.

Teh teh teh!

We hujajua kuwa huyu mtoto kwa nje ni Mla mbwa! Lkn kwa ndani ni mnywa KISUSIO!
 
Najaribu kufikiri sanaaaaaa

TUNAKUMISS SANA J.K.NYERERE

1. Idd Amini - Alipoivamia Tz....Mwalimu alitamka tutampiga
nduli!.. Na kweli Idd Amini alipigwa
hadi akaikimbia Uganda.......

2. Kolimba - Alipotamka CCM
imepoteza Dira na Mwelekeo...Mwalimu alimwita Dodoma akamuuliza nani kakutuma useme hivyo?!.. Ndio ukawa mwisho wa Kolimba!..

3. Samweli Sitta - Alipokuwa
kiongozi wa serikali ya wanafunzi pale UDSM aliongoza mgomo wa
wanafunzi wenzake kudai siagi na maziwa!... Mwalimu aliibuka pale chuoni akamuuliza Samweli
Samweli kwenu mnakunywa maziwa
kweli?!.. Akamwambia lala chini, akamcharaza bakora na mgomo ukaishia hapo hapo!...

4. Abdul Jumbe! - Alipotaka serikali tatu!.. Nyerere alimuuliza moja kujumlisha moja ni ngapi?!.. Jumbe
akajibu ni mbili!.. Nyerere
akamwambia kama ni mbili mbona unataka serikali tatu?!.. Huo ndio ukawa mwisho wa Abdul Jumbe
kuwa Rais wa Zanzibar!..

5. John Samwel Malecela - Ni baada ya taarifa kuzagaa kuwa amebadili dini na jina ili apate kuungwa mkono na nchi za kiislamu kugombea Urais mwaka 1995!..Nyerere alimwambia wee John wewe umeenda Arabuni mara moja umebadilisha jina sasa unaitwa Jumanne!. Ukienda mara ya pili si utabadilisha kabila?!... Huo ukawa mwisho wa ndoto zake kuwa Rais wa Tz !...

6. Edward Lowassa-Alipokodi
ndege binafsi ikampeleka hadi dodoma kwenye vikao vya mchujo wa wagombea Urais kupitia CCM mwaka 1995 alimpa lift JK!..Nyerere alimuuliza mmekuja na Ndege dodoma pesa mmetoa wapi?!.. Jina la Lowassa likakatwa kabla ya vikao vya mchujo!..

Wakamuuliza Nelson Mandela,tukupe nini ili uache usumbufu na harakati zako,wakampa cheki
ajiandikie kiasi cha fedha,yeye akaigeuza kwa nyuma akaandika UHURU NA
USAWA WA WATU WANGU-

Hakuna tena mfano wa viongozi hawa siku hizi.


Kwahisani ya mtu wa BKM2015

vipi mchango wa Nyerere, kwenye vifo vya hawa jamaa, Kolimba, Karume, kighoma Malima??
 
Mtakatifu Julius Nyerere hata sahaulika kwa hayo

ni sawa kwa nyerere na mandela ila kumbuka mwanadamu hajawahi kuwa mtakatifu,ukiangalia manabii wote waliowai kuwa kwenye dunia hii hajawaikuwako mtakatifu siku mwanadamu alipomwasi mungu ndo utakatifu wa mwanadamu ulipopotea mtakatifu ni mungu tu,aliyetuumba,aliyempa izo busara nyerere,aliyempa ujasiri mandela nk.usimwite mwanadam anayekufa mtakatifu,mtakatifu ni yule aliyeshinda mauti alikufa siku ya 3 akafufuka
 
mkuu. hivi mzee mtei alivyoisaliti nchi kwa kukataa kupigania uhuru wa nchi alipewa adhabu gani

We baba yako au babu yako alishawah kupigania huo uhuru au unabwabwaja tuu...usikute nyie ndo wale mliopata bahati ya kusogezwa karibu na mji kipindi cha vijiji vya ujamaa halafu mnajifanya wajanja
 
We ndio mkulima kweli usie na elimu!
Aliye kudanganya nani kuwa vijiji vya ujamaa vilisogeza watu mijini ni nani!?
Au leo umeamkia ganja mbichi!
 
Wakamuuliza Nelson Mandela,tukupe nini ili uache usumbufu na harakati zako,wakampa cheki
ajiandikie kiasi cha fedha,yeye akaigeuza kwa nyuma akaandika UHURU NA
USAWA WA WATU WANGU-


Hakuna tena mfano wa viongozi hawa siku hizi.


Kwahisani ya mtu wa BKM2015
Hapo kwenye red sijui MM aliandika ngapi!
 
40 Reactions
Reply
Back
Top Bottom