Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,079
- 8,219
Huo ushamba alifanya aliyekwenda, kwa sasa kila chama kitafanya siasa zake
Huyo kamfuata anayemlipia bills za Bia kwa sasaNipe orodha ya Wakuu wa wilaya nikuonesha waliookotwa huko unakosema na mwingine wa Arusha juzi kaahidiwa kazi.
Hao ndio MaCCM, akili zao hazina akili.Kupata kichekesho kama hiki, bonyeza hash zero has 6 star hash.
Naona mmeanza kujiuza,Chadema wamekimbiza sana huko kitaa na usajili wa kidigitali. Viongozi wa jumhia za Chama hiki wanafanya kazi kubwa sana na wameibua wananchi kuamka hasa wanawake kuitafuta haki.
Kwa namna ambavyo viongozi Hawa wamejizolea umaarifu lazima wataaza kukamatwa na kuteswa kisaikologia wapunguze Kasi au walipwe ajira serikalini wajiunge chama Tawala. Wafuatao niviongozi ambao ni wageni kwenye siasa na hawajawahi kutingishwa imani yao;
1. John Pambalu anaupiga mwingi Sana
2. CPA Catherine Ruge, ametisha Sana kwenye nafasi yake kuliko hata akina Mdee
Siku si nyingi kamata kamata itaanza maana safu ya CCM imekosa agenda na nguvu yakusimama jukwaani kuzungumza na walalahoi. Hadi leo si mbunge wa CCM Wala kiongozi mwingine ambaye ameonyesha kusimama na machinga na bodaboda, Wakina mama wanapitia mateso na vijana hawana ajira ila viongozi wote wa CCM wamekalia kusifia......watu Wana njaa mnataka kuwaaminisha wameshiba?
MaCCM wote akili zenu hazina akili . Unanikumbusha bi, dada Cocochanel , au ni wewe ,ndio kila awamu na ID yake.?!CCM ni jungu kuu.....
Awamu ya 6 ina AJENDA lukuki....
CCM hii haina haja ya kuokoteza huko usemako.....
Siempre JMT
Hash Ziro Kalindwi, Igana ImoKupata kichekesho kama hiki, bonyeza hash zero has 6 star hash.
Shida inakuja mkuu pale anapokosekana wa kujitoa muhanga! Unafikri nani yuko tayari kufa kwa ajili ya wengine? Hao milioni wote wangekuwa na roho ngumu wanasema liwalo na liwe inawezekana! Lakini sasa mmmmmhhh!upumbavu mtupu, CCM haina nguvu kama inavyofikiria, vyama vya siasa vinakuja na kuondoka, hata wamachinga wakiamua kuindoa CCM madarakani wanaweza, imagine machinga milioni moja wanaandamana na kupiga camp katikati ya jiji na kutaka raisi ajiuzuru, utaua wangapi? utatoka tuu...pumbaf sana CCM hamna nguvu kama mnavyofikiria wenye nchi wakiamua mtoke mtatoka tuu
Kwamba Ccm hawana tena uwezo wa fikra. Wao taliyo baki ni kurubuni wapinzani na kuwa vyeo.Chadema wamekimbiza sana huko kitaa na usajili wa kidigitali. Viongozi wa jumhia za Chama hiki wanafanya kazi kubwa sana na wameibua wananchi kuamka hasa wanawake kuitafuta haki.
Kwa namna ambavyo viongozi Hawa wamejizolea umaarifu lazima wataaza kukamatwa na kuteswa kisaikologia wapunguze Kasi au walipwe ajira serikalini wajiunge chama Tawala. Wafuatao niviongozi ambao ni wageni kwenye siasa na hawajawahi kutingishwa imani yao;
1. John Pambalu anaupiga mwingi Sana
2. CPA Catherine Ruge, ametisha Sana kwenye nafasi yake kuliko hata akina Mdee
Siku si nyingi kamata kamata itaanza maana safu ya CCM imekosa agenda na nguvu yakusimama jukwaani kuzungumza na walalahoi. Hadi leo si mbunge wa CCM Wala kiongozi mwingine ambaye ameonyesha kusimama na machinga na bodaboda, Wakina mama wanapitia mateso na vijana hawana ajira ila viongozi wote wa CCM wamekalia kusifia......watu Wana njaa mnataka kuwaaminisha wameshiba?
Naomba ni kusidie awamu ya 6 pamoja na AJENDA lukuki zake laki ilipidi iombe watu kutoka Chadema kusaidieCCM ni jungu kuu.....
Awamu ya 6 ina AJENDA lukuki....
CCM hii haina haja ya kuokoteza huko usemako.....
Siempre JMT
Huyu dada cocochanel sijui alipotelea wapi baada ya MAKONDA kupotea na yeye akapotea,wapo wengine kama.MaCCM wote akili zenu hazina akili . Unanikumbusha bi, dada Cocochanel , au ni wewe ,ndio kila awamu na ID yake.?!
Banaga akikusikia unamwita ”WAKUOKOTWA /WAKUOKOTEZWA” atatoka JEHANAMU aingie motoni , maana PEPONi atakusikia tu kama MaCCM wengine wote.
Mbona wengi wameokotezwa na kupewa nafasi huko Serikali wakiwaacha nyie walamba viatu mkiambulia buku 7 au huwajui?CCM ni jungu kuu.
Awamu ya 6 ina AJENDA lukuki.
CCM hii haina haja ya kuokoteza huko usemako.
Siempre JMT
Wapuuzi ni nyie walamba viatu na kuambulia makombo kwenye meza za watawala.Chadema ni wapuuzi tu, hao kelele zao wanatafuta waonekane na CCM hawana lolote.
Siku hizi anajiita Jambo Brouni,yuko humu na mautumbo yakeHuyu dada cocochanel sijui alipotelea wapi baada ya MAKONDA kupotea na yeye akapotea,wapo wengine kama.
Hakuna ushahidi wa matendo maovu dhidi ya hao uliowataja kama wanavyofanya CCM wenyeweChadema wamekimbiza sana huko kitaa na usajili wa kidigitali. Viongozi wa jumuia za chama hiki wanafanya kazi kubwa sana na wameibua wananchi kuamka hasa wanawake kuitafuta haki.
Kwa namna ambavyo viongozi Hawa wamejizolea umaarifu lazima wataaza kukamatwa na kuteswa kisaikologia wapunguze Kasi au walipwe ajira serikalini wajiunge chama Tawala. Wafuatao niviongozi ambao ni wageni kwenye siasa na hawajawahi kutingishwa imani yao:
1. John Pambalu anaupiga mwingi sana
2. CPA Catherine Ruge, ametisha sana kwenye nafasi yake kuliko hata akina Mdee
Siku si nyingi kamata kamata itaanza maana safu ya CCM imekosa agenda na nguvu yakusimama jukwaani kuzungumza na walalahoi. Hadi leo si mbunge wa CCM Wala kiongozi mwingine ambaye ameonyesha kusimama na machinga na bodaboda, wakina mama wanapitia mateso na vijana hawana ajira ila viongozi wote wa CCM wamekalia kusifia, watu Wana njaa mnataka kuwaaminisha wameshiba?
ni KinujuHuyu dada cocochanel sijui alipotelea wapi baada ya MAKONDA kupotea na yeye akapotea,wapo wengine kama.
Argumentum ad hominem....MaCCM wote akili zenu hazina akili . Unanikumbusha bi, dada Cocochanel , au ni wewe ,ndio kila awamu na ID yake.?!
Banaga akikusikia unamwita ”WAKUOKOTWA /WAKUOKOTEZWA” atatoka JEHANAMU aingie motoni , maana PEPONi atakusikia tu kama MaCCM wengine wote.
Ni mwendo wa kuokota tu sasa na usishangae siku ukisikia mzee Yusufu wa jahazi anakuwa waziriNipe orodha ya Wakuu wa wilaya nikuonesha waliookotwa huko unakosema na mwingine wa Arusha juzi kaahidiwa kazi.
Aibu kubwa sana jamani kumbe mzee Rwambo Makiadi aliyajua na kuimba wimbo wa MARIOO.Huyo kamfuata anayemlipia bills za Bia kwa sasa
ShakaaaHao ndio MaCCM, akili zao hazina akili.