Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Wananchi ndiyo wenye kuamua kipi wanahitajiNaona mmeanza kujiuza,
Wananchi ndiyo wenye kuamua kipi wanahitajiNaona mmeanza kujiuza,
Bananga MarioooMaCCM wote akili zenu hazina akili . Unanikumbusha bi, dada Cocochanel , au ni wewe ,ndio kila awamu na ID yake.?!
Banaga akikusikia unamwita ”WAKUOKOTWA /WAKUOKOTEZWA” atatoka JEHANAMU aingie motoni , maana PEPONi atakusikia tu kama MaCCM wengine wote.
Huyu dada cocochanel sijui alipotelea wapi baada ya MAKONDA kupotea na yeye akapotea,wapo wengine kama.
MaCCM wote akili zenu hazina akili . Unanikumbusha bi, dada Cocochanel , au ni wewe ,ndio kila awamu na ID yake.?!
Banaga akikusikia unamwita ”WAKUOKOTWA /WAKUOKOTEZWA” atatoka JEHANAMU aingie motoni , maana PEPONi atakusikia tu kama MaCCM wengine wote.
CCM ni jungu kuu.
Awamu ya 6 ina AJENDA lukuki.
CCM hii haina haja ya kuokoteza huko usemako.
Siempre JMT
haa haa just haa haa.. karibu sana Bibie, hakuna wa kusaga meno na CCM = Chama maiti .Subiri muda ufike.. mtasaga meno kama kawa humu.. 💀
Ila Catherine Ruge ni nomaChadema wamekimbiza sana huko kitaa na usajili wa kidigitali. Viongozi wa jumuia za chama hiki wanafanya kazi kubwa sana na wameibua wananchi kuamka hasa wanawake kuitafuta haki.
Kwa namna ambavyo viongozi Hawa wamejizolea umaarifu lazima wataaza kukamatwa na kuteswa kisaikologia wapunguze Kasi au walipwe ajira serikalini wajiunge chama Tawala. Wafuatao niviongozi ambao ni wageni kwenye siasa na hawajawahi kutingishwa imani yao:
1. John Pambalu anaupiga mwingi sana
2. CPA Catherine Ruge, ametisha sana kwenye nafasi yake kuliko hata akina Mdee
Siku si nyingi kamata kamata itaanza maana safu ya CCM imekosa agenda na nguvu yakusimama jukwaani kuzungumza na walalahoi. Hadi leo si mbunge wa CCM Wala kiongozi mwingine ambaye ameonyesha kusimama na machinga na bodaboda, wakina mama wanapitia mateso na vijana hawana ajira ila viongozi wote wa CCM wamekalia kusifia, watu Wana njaa mnataka kuwaaminisha wameshiba?
haa haa just haa haa.. karibu sana Bibie, hakuna wa kusaga meno na CCM = Chama maiti .
Sema ni wepesi zaidi ya mavuzxxxBila Polisi ccm ni wepesi kuliko pamba