Hatua gani unataka tufanye; umesema tusifanye vurugu, ok, je unajua kuwa katiba yetu hairuhusu kupinga mahakamani matokeo ya urais!? Sasa tufanyeje? Ila elewa mwanadamu mkimya ni hatari zaidi.
ukimya kwa hili hautasaidia mkuu kumbuka mpaka uchaguzi ni 5 yrs mbele