naamini wafuasi wa TANU wapo na wanakiunga mkono chama chao,huu ni wakati muafaka kuanzisha au tuseme kukifufua chama chetu kilichopigania na kutupigani Uhuru hadi tukakomboka.
Sisi sote tumegomboka vyama vilivyopo sasa vimeitupa historia yetu ya nchi hii na sasa inaonekana wazi Tanzania inakwenda mrama mrama.
Ila nini kifanywe ili chama chetu kirudiwe na uhai wake.
CCM itabaki kuwa CCM na TANU itabaki kuwa TANU na wacha iitwe TANU.
Sisi sote tumegomboka vyama vilivyopo sasa vimeitupa historia yetu ya nchi hii na sasa inaonekana wazi Tanzania inakwenda mrama mrama.
Ila nini kifanywe ili chama chetu kirudiwe na uhai wake.
CCM itabaki kuwa CCM na TANU itabaki kuwa TANU na wacha iitwe TANU.