Wafuasi wa Tanu kama mpo -- TANU inahitajika kuliko wakati wowote ule

Shocker

JF-Expert Member
Sep 15, 2012
1,930
3,803
naamini wafuasi wa TANU wapo na wanakiunga mkono chama chao,huu ni wakati muafaka kuanzisha au tuseme kukifufua chama chetu kilichopigania na kutupigani Uhuru hadi tukakomboka.

Sisi sote tumegomboka vyama vilivyopo sasa vimeitupa historia yetu ya nchi hii na sasa inaonekana wazi Tanzania inakwenda mrama mrama.
Ila nini kifanywe ili chama chetu kirudiwe na uhai wake.

CCM itabaki kuwa CCM na TANU itabaki kuwa TANU na wacha iitwe TANU.
 
naamini wafuasi wa TANU wapo na wanakiunga mkono chama chao,huu ni wakati muafaka kuanzisha au tuseme kukifufua chama chetu kilichopigania na kutupigani Uhuru hadi tukakomboka.
Sisi sote tumegomboka vyama vilivyopo sasa vimeitupa historia yetu ya nchi hii na sasa inaonekana wazi Tanzania inakwenda mrama mrama.
Ila nini kifanywe ili chama chetu kirudiwe na uhai wake.
CCM itabaki kuwa CCM na TANU itabaki kuwa TANU na wacha iitwe TANU.
Unataka TANU ipiganie UKOMBOZI upya kutoka kwa makucha ya ccm, au?
 
Back
Top Bottom