Wafuasi wa Magufuli muelewe, siasa zenu hazina nafasi tena nchi hii, ila wapinzani nao wana wajibu

Aibu kwenu wanachadema!

Aibu hii ni kwa MATAGA kama nyinyi. Kitendo cha Mbowe kuitwa Ikulu kuonana na Rais mara tu baada ya kufutiwa mashtaka, ni ushindi kwa Chadema.

Lakini pia kitendo cha Rais kwenda Ubelgiji na kukutana na 'mdogo' wake Tundu Lissu, na kuzungumza mambo mbalimbali ya msingi kati yao! Pia ulikuwa ni ushindi mwingine huu kwa Chadema na viongozi wake.

Hakika MATAGA mmebakia kuwa watoto yatima baada ya kuthibitisha pasipo na shaka ya kwamba mama hayuko upande wenu! Hivyo naamini miaka michache ijayo, hii chuki iliyo asisiwa na yule malaika wenu, itafutika kabisa! Na hivyo Watanzania tutarudi kwenye maisha yetu ya kuishi kama wamoja.
 
Kwa pigo la jana kwenu nyinyi sukuma gang lazima mlijiharishia

Sukuma gang na MATAGA kama hawaamini vile kinacho enda kutokea mpaka sasa! Kwani siasa za chuki, dhuluma, uonevu, ndiyo ulikuwa ni mtaji wao.

Wanatamani huyu mama aendeleze pale mtangulizi wake alipoishia! Ili na 2025 washinde uchaguzi wa wabunge na urais, kirahisi tu na kwa msaada wa polisi kama ilivyo fanyika 2020! Jambo ambalo halitawezekana tena.

Ni vizuri MATAGA wabunge na madiwani wakaanza kuandaa mazingira ya kujiajiri. Maana wengi wao hawataonekana tena kwenye siasa za ushindani baada ya 2025.
 
Hapo kwenye kuhonga wapinzani, hapo mwenye tatizo ni aliehongwa ama aliehonga?

Matatizo ya wapinzani wetu kua wenye njaa na wasio na msimamo ni kosa la Magufuli?

Kugombana na majirani ni kitu cha kawaida pale unapoona maslahi ya nchi yanaingiliwa. Kazi ya rais ni kulinda maslahi ya nchi, rais akiona majirani wanaingilia maslahi yetu lazima akomae, hata Putin ndio maana ameivamia Ukraine kulinda maslahi ya nchi yake, Kikwete aligombana na Kagame kulinda masilahi ya nchi yetu.

Hoja kwamba Magufuli aligombana na majirani haina msingi wowote, hata Nyerere aligombana na Iddy Amin kulinda maslahi ya Tanzania. Ama ulitaka Magufuli awachekee wakenya wanavyoiba nchini kwetu?

Sekta binafsi ipi iliyokufa? Sekta binafsi ingekua imekufa banks zisingekua zinaogelea kwenye faida, ama husomi hata machapisho ya mapato ya mabenki nchini? Banks zisingekua zinafungua matawi kila kona. Hakuna sekta binafsi iliyokufa, huo ni uongo na uzushi.

Mapato ya Kodi yasingefik 2T kama sekta binafsi ingekua imekufa. Hoja ya sekta binafsi kufa haina mashiko.

Vyombo gani vya habari vilifungiwa? Hivi bijigazeti uchwara vinavyopika habari kina Tanzania Daima, Machweo sijui mawio? Hebu kua serious basi. Hakuna taifa linaweza kua na vyombo vya habari ambavyo kazi yake ni kutunga stori na kuzusha uongo na uzandiki kwenye jamii, hakuna Duniani.
Jpm alikuwa anagimbana na yeyote anayemkuta barabarani ili mradi amejisikia kugombana bila hata sababu ya msingi. Mfano kuchoma vifaranga vya kenya
 
Sukuma gang na MATAGA kama hawaamini ve kinacho enda kutokea! Kwao siasa za chuki, dhuluma, uonevu, ndiyo mtaji wao.

Wanatamani huyu mama aendeleze pale mtangulizi wake alipoishia! Ili na 2025 washinde uchaguzi wa wabunge na urais, kirahisi tu na kwa msaada wa polisi kama ilivyo fanyika 2020! Jambo ambalo halitawezekana tena.

Ni vizuri MATAGA wabunge na madiwani wakaanza kuandaa mazingira ya kujiajiri. Maana wengi wao hawataonekana tena kwenye siasa za ushindani baada ya 2025.
Sukuma gang ni kundi la hatari na hovyo kabisa kwenye mustakabali wa umoja na mshikamano
 
Aibu hii ni kwa MATAGA kama nyinyi. Kitendo cha Mbowe kuitwa Ikulu kuonana na Rais mara tu baada ya kufutiwa mashtaka, ni ushindi kwa Chadema.

Lakini pia kitendo cha Rais kwenda Ubelgiji na kukutana na 'mdogo' wake Tundu Lissu, na kuzungumza mambo mbalimbali ya msingi kati yao! Pia ulikuwa ni ushindi mwingine huu kwa Chadema na viongozi wake.

Hakika MATAGA mmebakia kuwa watoto yatima baada ya kuthibitisha pasipo na shaka ya kwamba mama hayuko upande wenu! Hivyo naamini miaka michache ijayo, hii chuki iliyo asisiwa na yule malaika wenu, itafutika kabisa! Na hivyo Watanzania tutarudi kwenye maisha yetu ya kuishi kama wamoja.
Msimamo wa chadema ni kutoitambua serikali na matokeo ya uchaguzi mkuu 2020 leo hii aibu yenu kabla jua halijazama mmekana kauli zenu na kuamua kula matapishi yenu!
 
Kudadadeeeki sukuma gang jana mlilala bila viatu.

Mliamini kiboko ya Jiwe mh Mbowe angefungwa na sasa yupo huru.
Mnakiri uchaguzi mkuu 2020 ulioiweka serikali ya awamu ya 5/6 ulikuwa huru na haki na tume ilikuwa huru tuanzie hapo kwanza hebu funguua hicho kibwebwe kwanza umenengua sana!
 
Msimamo wa chadema ni kutoitambua serikali na matokeo ya uchaguzi mkuu 2020 leo hii aibu yenu kabla jua halijazama mmekana kauli zenu na kuamua kula matapishi yenu!

😬😬😬😬 Umeshasema msimamo wa Chadema! Sasa mimi ni Chadema!
Wewe Uvccm vipi bhana! 😁😁

Mimi ni Mtanzania tu Mzalendo na mpinga CCM.
 
Awamu hii ili uonekane kichwa sana ni lazima umtusi Magufuli.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Mbowe aliishiwa Hela za kulipa mawakili, akaitisha mchango mitandaoni akapata chini ya milioni tano, alijiaminisha Chadema Ina watu watamchangia, hawakuchanga, alivyoona wanachadema wamemtelekeza, akaamua kuomba radhi kwa SSH.

Akaona hana haja ya kujiumiza kukaa gerezani kwa ajili ya Wana Chadema wenye roho ya ubinafsi
Hili alisemwi na wanna chadema
 
Mbowe ni kiongozi sahihi kuongoza siasa za upinzani za nyakati hizi
 
Back
Top Bottom