Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,125
- 8,231
Neno shoga limekukaa sana kwenye mind yako, hii ni dhahiri unashiriki huo ushenzi.Tafta mume uolewe, wapinzani mlisema mnapenda mashoga, tafteni wa kuwafira.
Mtafite shost yako suphi.!
Neno shoga limekukaa sana kwenye mind yako, hii ni dhahiri unashiriki huo ushenzi.Tafta mume uolewe, wapinzani mlisema mnapenda mashoga, tafteni wa kuwafira.
Sawa mama.
Zitarudi tena utashangaa.Ninachosema ni kuwa hizo siasa zimepitwa na wakati
Vile si vifaranga vya Kenya, ni vya wa wafanyabiashara!Jpm alikuwa anagimbana na yeyote anayemkuta barabarani ili mradi amejisikia kugombana bila hata sababu ya msingi. Mfano kuchoma vifaranga vya kenya
Kama katiba na system inaruhusu, atakuja tuu Magu mwingine.Kwahiyo Magu aliiga mabaya ya Nyerere kwakuwa sio mambo mapya? Magu alistahili kutawala enzi za ujima, lakini hakustahili kuwa kiongozi enzi hizi za wastaarabu.
Ndo yale yale alosema mtoa mada watu wa Magufuli mlikua mkipika data na mlizoea uongo...Mbowe aliishiwa Hela za kulipa mawakili, akaitisha mchango mitandaoni akapata chini ya milioni tano, alijiaminisha Chadema Ina watu watamchangia, hawakuchanga, alivyoona wanachadema wamemtelekeza, akaamua kuomba radhi kwa SSH.
Akaona hana haja ya kujiumiza kukaa gerezani kwa ajili ya Wana Chadema wenye roho ya ubinafsi
Kama katiba na system inaruhusu, atakuja tuu Magu mwingine.
Linasemwa na Mazuzu. Hakuna mwenye akili timamu ataongea kizuzu namna hiyo.Hili alisemwi na wanna chadema
Yaani we ndo maamuma manikins zumbukuku mzungu wa reliMmehamia tena kwa Magufuli mshasahau Katiba na Tume huru?
Kila ajenda za CCM ni kudandia tu...
Hayo yako bhana..Yaani we ndo maamuma manikins zumbukuku mzungu wa reli
System haitaruhusu, kwa marekebisho anayofanya Samia ni dhahiri CCM wamejufunza na hawatarudia tena kosaKama katiba na system inaruhusu, atakuja tuu Magu mwingine.
Uzi umetuliaPamoja na matatizo mengi Tanzania ilyokuwa nayo kabla ya mwaka 2016 lakini ilikuwa katika njia nzuri na ilikuwa inapiga hatua, Then akaingia Magufuli ambaye wengi, ikiwemo mimi nilidhani atatatua matatizo mengi ya nchi yetu kwa kipindi kile
Lakini Magufuli alikuja na siasa mpya ambazo ziliongeza matatizo ambayo hayakuwepo, siasa za kugombana na majirani na kufungiana mipaka, kugombana na jamii ya kimataifa, siasa za kupika takwimu, siasa za kuua sekta binafsi na kufilisi wafanyabishara, siasa za kufungia vyombo vya habari na kuvitisha visiandike habari fulani, siasa za kuhonga na kulazimisha wapinzani wakuunge mkono, siasa za kuteka na kuua watu wanaokukosoa kubambikiza kesi n.k
Uongozi wa Samia hautakuwa perfect, utakuwa na mabaya yake lakini angalau ameonyesha nia ya kuachana na siasa hizi zilizoturudisha nyuma sana, Samia alionyesha nia hii tangia hotuba yake ya kwanza lakini akapelekwa chaka na elements za Magufuli zilizokuwa zimesalia Serikalini na kwenye chama
Wapinzani nao wana wajibu wa kufanya compromise zao, wana madai mengi ya msingi lakini hayawezi kutekelezwa yote kwa wakati mmoja
Kuna yale ya msingi kama watu waliofungwa au wenye kesi za kubambikizwa hawa wafutiwe tu mara moja
Pia waachane na watu wa siasa za kali za matusi, wanaojifanya wana uchungu sana na nchi, waliona jinsi akina Kigogo na Mange walivyowageuka, watu wa siasa hizi sio wa kuwaamini na wanawaharibia taswira ya upinzani, kama kuna wanachama wao wenye tabia hizi wawafundishe pia
Upinzani kazi yake ni kutafuta mapungufu ya serikali na ku offer alternative, sio kazi yao kusifia, kwa hiyo serikali isitegemee wala isilazimishe kusifiwa na wapinzani
Kwanini usiseme aibu kwangu Mimi KPKAibu kwenu wanachadema!