Wafuasi wa CHADEMA wengi hawajajiandikisha wapeni tu fomu hawana madhara

Kwanini alipotajwa manka Umeshikwa na hasira namna hii? Vipi kama wamejulishana huko pm kwamba yeye ni manka?

Kwanini wachaga mnawaza sana ukabila?
We nae mpumbavu tu, na we tayari umesha assume mi mchaga?
Nani mkabila sasa kati ya mimi na wewe?
 
Kwa mfano Mtaani kwetu wale makamanda viherehere tunaowafahamu karibia wote hawajajiandikisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa sasa CHADEMA inashindaje hapo?

Wapeni fomu tu ili wakose visingizio, iwe Msoga ama Kihesa au Tandahimba wapeni fomu wapinzani sisi CCM tunawasubiri kunako 24/11/2019 tumalizane nao.

Siasa si uadui
Maendeleo hayana vyama!
Usisahau kuna kampeni kabla ya uchaguzi, wale waliojiandikisha tu, ukiwaabia kanunua ndege, badala ya msosi, watabadili uamuzi
 
Kwa mfano Mtaani kwetu wale makamanda viherehere tunaowafahamu karibia wote hawajajiandikisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa sasa CHADEMA inashindaje hapo?

Wapeni fomu tu ili wakose visingizio, iwe Msoga ama Kihesa au Tandahimba wapeni fomu wapinzani sisi CCM tunawasubiri kunako 24/11/2019 tumalizane nao.

Siasa si uadui
Maendeleo hayana vyama!
Wajiamin watoe fomu
 
Kwa akili yako unqzani hao vijana wapiga yowe wanapiga kura? Tuliokaa kimya ndo wapigaji wazuri.
Kwa mfano Mtaani kwetu wale makamanda viherehere tunaowafahamu karibia wote hawajajiandikisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa sasa CHADEMA inashindaje hapo?

Wapeni fomu tu ili wakose visingizio, iwe Msoga ama Kihesa au Tandahimba wapeni fomu wapinzani sisi CCM tunawasubiri kunako 24/11/2019 tumalizane nao.

Siasa si uadui
Maendeleo hayana vyama!
 
Hivi watu wanavojiandikisha wanakuja na mavazi ya chama au kadi za chama mpaka mseme hawajajiandikisha??
 
Kwa mfano Mtaani kwetu wale makamanda viherehere tunaowafahamu karibia wote hawajajiandikisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa sasa CHADEMA inashindaje hapo?

Wapeni fomu tu ili wakose visingizio, iwe Msoga ama Kihesa au Tandahimba wapeni fomu wapinzani sisi CCM tunawasubiri kunako 24/11/2019 tumalizane nao.

Siasa si uadui
Maendeleo hayana vyama!
Punguza au acha Gongo...uwezo wako wa kufikiri au kuwaza masuala unatia Shaka...rudia kusoma ulichoandika na ufikiri tena...tena fikiri sawa sawa...utagundua unatatizo ktk kufikiri...then itakusaidia sana.
 
Kwa mfano Mtaani kwetu wale makamanda viherehere tunaowafahamu karibia wote hawajajiandikisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa sasa CHADEMA inashindaje hapo?

Wapeni fomu tu ili wakose visingizio, iwe Msoga ama Kihesa au Tandahimba wapeni fomu wapinzani sisi CCM tunawasubiri kunako 24/11/2019 tumalizane nao.

Siasa si uadui
Maendeleo hayana vyama!
MZEE BABA KAMA KWELI HAWAJIANDIKISHA NA MNAKUBALIKA MMENUNUA NDEGE NA KUPUNGUZA WANUFAIKA WA MIKOPO YA ELIMU YA JUU MBONA MNATOA FOMU ZENYE GHIRIBA KWA CHAMA MNACHOKIITA SACCOS
UKIWA ccm unakuwa mpumbavu kama mwenyekiti wa SADK
 
Kwa mfano Mtaani kwetu wale makamanda viherehere tunaowafahamu karibia wote hawajajiandikisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa sasa CHADEMA inashindaje hapo?

Wapeni fomu tu ili wakose visingizio, iwe Msoga ama Kihesa au Tandahimba wapeni fomu wapinzani sisi CCM tunawasubiri kunako 24/11/2019 tumalizane nao.

Siasa si uadui
Maendeleo hayana vyama!
Imeagizwa bro, hawawezi pita hao, tusububili mapenzi ya Mungu tu
 
Kwa mfano Mtaani kwetu wale makamanda viherehere tunaowafahamu karibia wote hawajajiandikisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa sasa CHADEMA inashindaje hapo?

Wapeni fomu tu ili wakose visingizio, iwe Msoga ama Kihesa au Tandahimba wapeni fomu wapinzani sisi CCM tunawasubiri kunako 24/11/2019 tumalizane nao.

Siasa si uadui
Maendeleo hayana vyama!
Wewe mwenyewe una kiherehere kama barmaid.
 
Kwa mfano Mtaani kwetu wale makamanda viherehere tunaowafahamu karibia wote hawajajiandikisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa sasa CHADEMA inashindaje hapo?

Wapeni fomu tu ili wakose visingizio, iwe Msoga ama Kihesa au Tandahimba wapeni fomu wapinzani sisi CCM tunawasubiri kunako 24/11/2019 tumalizane nao.

Siasa si uadui
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaa chama chako cha CCM wanaogopa mpaka maiti ilimladi iwe na nembo ya CHADEMA.
 
sina uhakika na hilo kabisa,,Sehemu nyingi nilizotembelea ukweli upinzani haukubaliki tofauti na ilivokuwa 2014
Kuna bomu baya la chuki na visasi linapikwa na kuchochewa na wenye dhamana,walioapa kuilinda na kuitetea Katiba.Kwa sababu ndogo sana sifa na kiburi cha hovyo.
 
IMG_9146.JPG

Wacha tukeep records for future references
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom