Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 127
Monday, 01 November 2010
Mamia ya wafuasi Chadema wamaekusanyika katika ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya ya Maswa wakidai kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa wabunge katika majimbo ya Maswa Mashariki na Maswa Magharibi.
Mgombea wa Ubunge katika jimbo la Maswa Magharibi kwa tiketi ya Chadema, John Shibuda, akiwahutubia wafuasi wa chama hicho, alidai kuwa kuna njama za kumpora kura hivyo kuwataka wananchi kuwa macho.
Msimamizi wa uchaguzi katika majimbo hayo,Elizabeth Kitundu, hajulikani aliko na habari kutoka Maswa zinadai msimamizi hiuyo amekimbia umati wa wananchi hao ambao walionekana kuwa na hamasa ya kutaka kufahamu matokeo.
Mamia ya wafuasi Chadema wamaekusanyika katika ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya ya Maswa wakidai kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa wabunge katika majimbo ya Maswa Mashariki na Maswa Magharibi.
Mgombea wa Ubunge katika jimbo la Maswa Magharibi kwa tiketi ya Chadema, John Shibuda, akiwahutubia wafuasi wa chama hicho, alidai kuwa kuna njama za kumpora kura hivyo kuwataka wananchi kuwa macho.
Msimamizi wa uchaguzi katika majimbo hayo,Elizabeth Kitundu, hajulikani aliko na habari kutoka Maswa zinadai msimamizi hiuyo amekimbia umati wa wananchi hao ambao walionekana kuwa na hamasa ya kutaka kufahamu matokeo.