johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,901
- 141,842
- Thread starter
- #41
Hahahaa........ Wenzenu wamejitambua!
Hahahaa........ Wenzenu wamejitambua!
2mbilHongera kwao kwa kujitambua.
Pushapu vipi safarihii kichurachura babu yako atakoma ubishiSafari hii sijui hivi vijamaa vitakuja na staili gani baada ya ile ya kuzungusha mikono kubuma.
Na wewe uache uduanzi. Uwe unajadili mambo yenye tija!Nipo hapa na makamanda wa chadema ambao wananieleza kwamba walikuwa hawajui umuhimu wa taifa kuwa na shirika lake la ndege kama ilivyo ATCL
Wamedai kuwa leo baada ya kushuhudia midege mikubwa ya abiria inayomilikiwa na South African Airways ikitoa heshima za kijeshi mbele ya Rais Ramaphosa ndio wameelewa na kamwe hawatamlaumu tena Rais Magufuli kwa uamuzi wa kulinunulia taifa la Tanzania ndege.
Wamekubali kuwa maendeleo hayana vyama!
Umeelezwa ulikuja na pushapu safari hii utaruka kichurachura hujaipata hiyoo? Engineer?Happy NYUMBU sijui Safari hi wanakuja na style ipi maana ya kuzugusha vimikono inaonekana Ni .....Fulani,Mimi nasubiri kuona wanakuja dizaini gani Safari hii
Ishu iko hiviAdi huruma sijui ni kwanini ukishakuwa CCM tuu unakuwa kilaza wa kutupwa, yaani mzigo kwenye jamii!
Kwa kweli vijana wenzangu mlio katika vyama vya kisiasa in this country sijajua mnawaza nini vichwani mwenu jamani mbona tunashida nyingi kama taifa hamtaki kuyajadili badala yake uwa mnachangamkia sana viumbeya? Why tusijadili upatikanaji wa katiba hapa kwetu ili tuachane na katiba hii ya mabeberu?Safari hii sijui hivi vijamaa vitakuja na staili gani baada ya ile ya kuzungusha mikono kubuma.
Kama kweli maendeleo hayana chama mbona twaombwa kujiunga ccm?Nipo hapa na makamanda wa chadema ambao wananieleza kwamba walikuwa hawajui umuhimu wa taifa kuwa na shirika lake la ndege kama ilivyo ATCL
Wamedai kuwa leo baada ya kushuhudia midege mikubwa ya abiria inayomilikiwa na South African Airways ikitoa heshima za kijeshi mbele ya Rais Ramaphosa ndio wameelewa na kamwe hawatamlaumu tena Rais Magufuli kwa uamuzi wa kulinunulia taifa la Tanzania ndege.
Wamekubali kuwa maendeleo hayana vyama!