Mimi nimeona ishara ya Upendo na mshikamno. Mbona unakuwa negative minded broooChadema mna upumbavu mwingi ndo maana mnazarauliwa
Mimi nimeona ishara ya Upendo na mshikamno. Mbona unakuwa negative minded broooChadema mna upumbavu mwingi ndo maana mnazarauliwa
siyo matatizo ya kiufundi semneni mmeelemewa mawakili wa kinambowe point zimewaishia wamebaki kujambajamba tu mahakamani kila wanachokiongea pumba kila pingamizi chali halafu wanajiita wasomi
Mtu anayehudhuria kila siku yuko likizo au riziki kama ndege wa angani?!Halafu siyo keki tu , kuna hadi msosi na maji ya kunywa kwa wahudhuriaji wote kila siku kesi hii inapotajwa .
Karibu sana Mkuu
Upendo na Mshikamano.View attachment 2050794
Leo ikiwa ni mwendelezo wa kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu kwenye Mahakama Kuu divisheni ya Uhujumu Uchumi , Wafuasi wa chama chake wamefika kwa wingi kama ilivyo Kawaida yao , lakini safari hii wameingia na Keki .
Taarifa zinaonyesha kwamba ratiba ya ulaji wa keki hiyo imetolewa mapema kabla ya kuanza kwa kesi hiyo , ambapo mara baada ya kesi kuelekea Mapumziko kila Mwanachadema atakayehudhuria kesi hii leo atalishwa kipande cha keki ikiwa ni ishara ya Mshikamano .
uzalendo tuMtu anayehudhuria kila siku yuko likizo au riziki kama ndege wa angani?!
Pamoja na mapaja na firigisi za kuku kugawiwa bure. Karibuni sana mataga.Halafu siyo keki tu , kuna hadi msosi na maji ya kunywa kwa wahudhuriaji wote kila siku kesi hii inapotajwa .
Karibu sana Mkuu
.siyo matatizo ya kiufundi semneni mmeelemewa mawakili wa kinambowe point zimewaishia wamebaki kujambajamba tu mahakamani kila wanachokiongea pumba kila pingamizi chali halafu wanajiita wasomi
Watasaliti Kambi Yao , muda so muda Bora wasikaribishwe wakati huu mtajaza wasaliti nyumbani.Pamoja na mapaja na firigisi za kuku kugawiwa bure. Karibuni sana mataga.
Kwa nini msiandamane nyinyi kumuombea Mbowe msamaha kwa Mwenyekiti wenu baada ya Chadema kugoma?Mshikamano kwenye msosi Hilo mwaliweza,ili kuandamana kila mtu na keki yake.
Kwa jinsi ulivyoandika, mimi pia nimekudharauChadema mna upumbavu mwingi ndo maana mnazarauliwa
Uelevu wa CCM ni upi?Chadema mna upumbavu mwingi ndo maana mnazarauliwa
Nisaidie gwanda na mm nije kula msosi mama 😋Halafu siyo keki tu , kuna hadi msosi na maji ya kunywa kwa wahudhuriaji wote kila siku kesi hii inapotajwa .
Karibu sana Mkuu
Kisa lugha, hujui kuwa hyo n just normal thingKwa jinsi ulivyoandika, mimi pia nimekudharau
Kesi ya Mbowe lakini keki imeandikwa Lissu 4 Life. Akili kichwani kwa nini Lissu anataka Mbowe aendelee kubaki gerezani.View attachment 2050794
Leo ikiwa ni mwendelezo wa kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu kwenye Mahakama Kuu divisheni ya Uhujumu Uchumi , Wafuasi wa chama chake wamefika kwa wingi kama ilivyo Kawaida yao , lakini safari hii wameingia na Keki .
Taarifa zinaonyesha kwamba ratiba ya ulaji wa keki hiyo imetolewa mapema kabla ya kuanza kwa kesi hiyo , ambapo mara baada ya kesi kuelekea Mapumziko kila Mwanachadema atakayehudhuria kesi hii leo atalishwa kipande cha keki ikiwa ni ishara ya Mshikamano .
Bora Hashm Rungwe 😂😂aiseee ndo wa kukabidhiwa nchi hawa
Kabisa yaan, Kama Matoto yaan, wanaonekana wapuuz hawajui tuChadema mna upumbavu mwingi ndo maana mnazarauliwa
Yule kuitwa na tisiaraei tu analialiaJoyce Mukya amechoka kuvumilia genye wadau tunajilia tu.
Gaidi usiombe msamaha kaa huko huko
Contempt of the court invites summary judgement. Ningekuwa judge kwenye hiyo mahakama ningetoa hukumu ambayo ni kwake ni RETRIBUTIVE na kwa wengine iwe na DETERRENCE nature na tukio la kijinga hivi la kuinajisi mahakama lisingerudiwa sehemu yoyote katika jamhuri ya muungano wa TanzaniaView attachment 2050794
Leo ikiwa ni mwendelezo wa kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu kwenye Mahakama Kuu divisheni ya Uhujumu Uchumi , Wafuasi wa chama chake wamefika kwa wingi kama ilivyo Kawaida yao , lakini safari hii wameingia na Keki .
Taarifa zinaonyesha kwamba ratiba ya ulaji wa keki hiyo imetolewa mapema kabla ya kuanza kwa kesi hiyo , ambapo mara baada ya kesi kuelekea Mapumziko kila Mwanachadema atakayehudhuria kesi hii leo atalishwa kipande cha keki ikiwa ni ishara ya Mshikamano .