Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Naomba Nanyaro uje utupe updates. Kama walifanikiwa kuwapatia dhamana au la!
Nadhani Ngongo leo atakuwa ameumbuka sana maana jana alikataa kabisa kwamba hakukuwa na mgomo wa vifodi. Habari za leo zitakuwa zimemuumbua maana ziwethibitisha ukweli.
Moja kati ya sababu za mgomo ni kutaka Zuberi atimuliwe kwa kuwaita watu panya. Angalau ameshtakiwa na polisi wanamchunguza. Kwahiyo kuna mafanikio flan kwenye mgomo wa jana.
Kuhusu kesi, mm nadhan hakimu mwenye akili timamu ataitupilia mbali. Sababu waliokamatwa ni vijana wa eneo la december ambapo vifodi vinavyopita ni vinavyopita barabara ya dodoma tu. Vifodi ya sakina, ngaramtoni, ngulelo, tengeru, usa, njiro, kijenge, mwanama, moshono, unga ltd hazipiti december na zilikuwa zimegoma. Sasa vijana wa pale wanahusika vp na kugoma kwao!? Hiyo ni kesi ya kipuuzi kabisa na kwakuwa ipo kwa hakimu "mkazi" atakuwa analifahamu jiji vzuri na ataitupilia mbali! Labda awe influenced na magamba!
Nadhani Ngongo leo atakuwa ameumbuka sana maana jana alikataa kabisa kwamba hakukuwa na mgomo wa vifodi. Habari za leo zitakuwa zimemuumbua maana ziwethibitisha ukweli.
Moja kati ya sababu za mgomo ni kutaka Zuberi atimuliwe kwa kuwaita watu panya. Angalau ameshtakiwa na polisi wanamchunguza. Kwahiyo kuna mafanikio flan kwenye mgomo wa jana.
Kuhusu kesi, mm nadhan hakimu mwenye akili timamu ataitupilia mbali. Sababu waliokamatwa ni vijana wa eneo la december ambapo vifodi vinavyopita ni vinavyopita barabara ya dodoma tu. Vifodi ya sakina, ngaramtoni, ngulelo, tengeru, usa, njiro, kijenge, mwanama, moshono, unga ltd hazipiti december na zilikuwa zimegoma. Sasa vijana wa pale wanahusika vp na kugoma kwao!? Hiyo ni kesi ya kipuuzi kabisa na kwakuwa ipo kwa hakimu "mkazi" atakuwa analifahamu jiji vzuri na ataitupilia mbali! Labda awe influenced na magamba!