Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Ndiyo sisi ni sungu sungu, tukiamua jambo letu hatushindwagi kamwe. Tujiandae kupiga kura.
Tujitokezeni kwa wingi wetu tarehe 28.10.2020 tukapige kura tuwachague viongozi wetu bila ya kufanya uvunjifu wa amani kama wafanyavyo wa mtaa wa pili.
Tukimaliza kuchagua wagombea wetu kwa mtindo wa pembe tatu yaani 1:Rais..,. Mh Lissu
2. Mbunge
3. Diwani
Tuhakikishe tunazilinda kura zetu.
Tanzania bila ccm inawezekana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tujitokezeni kwa wingi wetu tarehe 28.10.2020 tukapige kura tuwachague viongozi wetu bila ya kufanya uvunjifu wa amani kama wafanyavyo wa mtaa wa pili.
Tukimaliza kuchagua wagombea wetu kwa mtindo wa pembe tatu yaani 1:Rais..,. Mh Lissu
2. Mbunge
3. Diwani
Tuhakikishe tunazilinda kura zetu.
Tanzania bila ccm inawezekana.
Sent using Jamii Forums mobile app