Wafuasi wa chadema Maswa waachiwa huru

NDOFU

JF-Expert Member
Feb 23, 2009
656
144
Ni wale walioshitakiwa kwa kumuua yule dereva kipindi cha kampeni za uchaguzi.Mahakama imewaachia huru baada ya mkurugenzi wa mashitaka kuona hakuna haja ya kuendelea na Kesi.SOURCE: ITV HABARI.
 
Duh! Ila kama kweli waliua roho ziwashtaki na watubu, siungi mkono raia kuchukua sheria mkononi...ingekuwa vema wangewastone to death wezi wazitowazito
 
Back
Top Bottom