muhogomchungu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 375
- 3
Tangu nchi ipate uhuru sijwahi kusikia msuguano kati ya Polisi na wafuasi wa ccm,Licha ya vurugu za kisiasa huko visiwani, kwa bahati sijasikia au kuona wanaccm wakikumbwa na nguvu za dola. hii ni miaka 50, sijawahi kuona nguo rangi ya kijani yaani wanaccm wakipigwa mabomu, kupigwa virungu na hata kumwagiwa maji ya uwasho.
hata huku tz bara hali ni hiyo, Chadema, Cuf, Tlp, NCCR na vyama vyengine tu.
wanafunzi vyuoni, wafanyakazi, wauza samaki na hata wananchi wengine lkn sijaona ccm. jee huu ni mfano mzuri wa kuigwa?
hata huku tz bara hali ni hiyo, Chadema, Cuf, Tlp, NCCR na vyama vyengine tu.
wanafunzi vyuoni, wafanyakazi, wauza samaki na hata wananchi wengine lkn sijaona ccm. jee huu ni mfano mzuri wa kuigwa?